Wasafi festival Iringa kwa online

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe juu yenu
Naomba wadau mtupatie link ya wasafi festival iringa ambao hatuna video nyumban sisi wengine tuko huku nyampande Sengelema

Asante sana

LONDON BOY
 
Ni Sengerema mkuu, sio Sengelema. Au huko Nyegezi utaki kusema ukweli?
 
Hkn haja ya link ingia you tube andika wasafi tv live ... Giggy money ndo yupo kwa stage now
 
Mkuu shoo iko live WASAFI TV...

aisee moto unawaka hukoo!? Heyy!!
 
Ommy Crazy is such a maza fantaa...
 
Mtu shazi, namuona Jonijo. Huyu jamaa baada ya kapewa shavu Wasafi naona na channel yake ya youtube kaifunga.Alafu tena kesho Mondi ana show Kenya na Jumapili anaenda malizia Moro na Wasafi feat , dogo fighter na anajua kutafuta hela.
 
Hawa jamaa ni hatari utadhani ni Festival ya Miaka 4 hivi kumbe ndio kwanza wanaanza BIG UP kwao
 
Hivi huyu Ommy Crazy DJ ni Freelancer au an Employee to IPP MEDIA...

!?

kwanini yuko huko now!? Namsikia mara nyingi EATV &RADIO
 
Sasa hivi stage yuko Hadija Kopa, kapanda na mijimama miwili we acha tu. BASATA wanalala saa hizi
 
OMG Chin Beezy is getting all the love down here...

I think he never expected this massive... LOVE
 
OMG Chin Beezy is getting all the love down here...

I think he never expected this massive... LOVE
Braza sijawah kuona unashusha ngeli namna hii hapa jamvini,au ni nguvu ya KVant ukizingatia masaa hayo ulokuwa unapost plus furahi day hahahaha
 
[emoji23][emoji23][emoji23]juzi zile mnatembelea migongo ya fiesta page zingeshafika mia huko daah chezea kiki
 
Hivi huyu Ommy Crazy DJ ni Freelancer au an Employee to IPP MEDIA...

!?

kwanini yuko huko now!? Namsikia mara nyingi EATV &RADIO
Alishaondokag kitambo EATV,then baadaye akawa E FM sijajua kama huko alikuwa for temporary au la
 
Hawa jamaa ni hatari utadhani ni Festival ya Miaka 4 hivi kumbe ndio kwanza wanaanza BIG UP kwao
Kitu kipya hapo ni jina tu la Tamasha.

Lakini wasanii ni wazoefu wa matamasha na

Na waandaaji wanaweza kuwa wazoefu.

Kama CEO wa Prime Time Promotions kampuni iliyoandaa matamasha yote ya Fiesta ndio ana 53% hisa Wasafi TV kwanini tusifikirie kuwa yeye ndiye mwandaaji pia wa Wasafi Festival ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…