Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 384
- 970
Nini maana ya live show?Mkuu, ulitaka utazame hadi mwisho wa show?
Halafu kwani wewe unapenda kufanya vitu vikaishia katikati?Mkuu, ulitaka utazame hadi mwisho wa show?
Hahahahaaa.... Mkuu, hebu tazama hata vipindi vingine.Nini maana ya live show?
Mi nilidhani kalipia, kumbe bure!Mkuu, ulitaka utazame hadi mwisho wa show?
Si ndio episode 1____Halafu kwani wewe unapenda kufanya vitu vikaishia katikati?
Wasamehe tu, huenda maandalizi hayakuwa rafiki kulingana na mda.Halafu kwani wewe unapenda kufanya vitu vikaishia katikati?
Mi nilidhani kalipia, kumbe bure!
Jamaa analalamika utafikiri yupo eneo la tukio.Mi nilidhani kalipia, kumbe bure!
Jamaa analalamika utafikiri yupo eneo la tukio.
Naamini hakuna makubaliano yoyote ya 'show' kuonyeshwa mubashara. Hivyo wana haki ya kuondoa mubashara hiyo mda wowote.
Hahahaaa....Basi watulipe na vipindi vingine vya huku studio kama hawataki live yao maana tmelipia tuone hiyo chanel kama ingekuwa umelipia lets say DSTV ili uone mechi ya Man U na Arsenal, matangazo yakakatwa, ungejisikiaje?