Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
Mama wa burudani hapa nchini anajulikana ni komando binti machozi jide lady jay deeeeee hili halina ubishi
Kwa sasa mpaka sisi timu kiba tunajua na tunaunga mkono mapinduzi ya burudani, tamasha la taifa kwa sasa ni wasafi festivo hivyo linahitaji kuwa na wasanii nguli wote wa taifa hili
List ya wasafi imemkosa komando wa taifa lady jay dee, wote tunajua huyu binti kabaniwa sana na redio ya wafuu lakini kasimama kivyake na kutoboa kimpango wake na mashabiki wake tupo tunaongezeka zaidi hata ya kipindi hiko
Enyi wasafi, njia ya kuwaua clouds pia ni kumchukua lady jay dee, tunamuomba sana kwenye mapinduzi ya burudani kwani yeye na harakati hizi kazianza kitambo na anaelewa sana jinsi game inavyochezwa
Kwa sasa mpaka sisi timu kiba tunajua na tunaunga mkono mapinduzi ya burudani, tamasha la taifa kwa sasa ni wasafi festivo hivyo linahitaji kuwa na wasanii nguli wote wa taifa hili
List ya wasafi imemkosa komando wa taifa lady jay dee, wote tunajua huyu binti kabaniwa sana na redio ya wafuu lakini kasimama kivyake na kutoboa kimpango wake na mashabiki wake tupo tunaongezeka zaidi hata ya kipindi hiko
Enyi wasafi, njia ya kuwaua clouds pia ni kumchukua lady jay dee, tunamuomba sana kwenye mapinduzi ya burudani kwani yeye na harakati hizi kazianza kitambo na anaelewa sana jinsi game inavyochezwa