Wasafi FM: Historia ya Bibi Titi...Inaendelea

Wasafi FM: Historia ya Bibi Titi...Inaendelea

MWALIMU NYERERE ALIKIWA MWAMBA KWELI KWELI.......

ALIWANYOOSHANO WATESI WAKE....

NA KILA SIKU YA MUNGU ALIKUWA AKIENDA KANISANI KWAAJILI YA IBADA.
(KILA SIKU).
 
Bias bias bias

Holy crap kalamu ndiye Mohamed said

Mdini mfawidhi
Timing,
Hili la udini ni fikra zako.

Amini hivyo ukipenda lakini ukweli ni kuwa nimeandika historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika.
 
Bias bias bias

Holy crap kalamu ndiye Mohamed said

Mdini mfawidhi
Kiongozi wajua ww maana ya bias au wasema tu!?

Kueleza ukweli wajambo hata kama linaegemea kwako haitwii bias, bias ni kupindisha jambo Kwa manufaa yako.
 
Back
Top Bottom