Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Itakua ni mwanaume tuSijui nani alimdanganya akamsaliti nyerere
Capo...MWALIMU NYERERE ALIKIWA MWAMBA KWELI KWELI.......
ALIWANYOOSHANO WATESI WAKE....
NA KILA SIKU YA MUNGU ALIKUWA AKIENDA KANISANI KWAAJILI YA IBADA.
(KILA SIKU).
Bias bias biasCapo...
Mwalimu alikuwa mtu wa kanisa hili halina shaka asilan.
Angalia video hiyo hapo chini kipo cha kujifunza:
View: https://youtu.be/JNxS7UpEIRo?si=yvfsmz7EFbr6gkSP
Timing,Bias bias bias
Holy crap kalamu ndiye Mohamed said
Mdini mfawidhi
Kiongozi wajua ww maana ya bias au wasema tu!?Bias bias bias
Holy crap kalamu ndiye Mohamed said
Mdini mfawidhi
Anapindisha sanaKiongozi wajua ww maana ya bias au wasema tu!?
Kueleza ukweli wajambo hata kama linaegemea kwako haitwii bias, bias ni kupindisha jambo Kwa manufaa yako.
Timing,Anapindisha sana
Hawezi hili nina uhakika nalo wa 10,0000%Timing,
Eleza nilichopindisha.