Wasafi FM hususa mtangazaji Mwanaidi mnapaswa kuomba radhi wasikilizaji wenu, kudanganya C. Eriksen amefarikifa

Wasafi FM hususa mtangazaji Mwanaidi mnapaswa kuomba radhi wasikilizaji wenu, kudanganya C. Eriksen amefarikifa

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293
Hii imekaaje, mtangazaji kudanganya? Atasema mdomo uliteleza kwanini hakuwa na subira mpaka ripoti ya daktari itoke?

Ni aibu kwa kituo na kwa mtangazaji mwenyewe. Unachukua habari za mitandaoni unazitangaza? Mnaanza kututia wasi wasi kusikiliza vipindi vyenu.
 
Kiherehere ili waonekane wao ni wa kwanza kutoa taarifa .

Sijui wanawatoaga wapi hawa watangazaj wasiojua miiko ya utangazaji ,yaan wasaf Naona wamejaa wahuni wahuni tu kuanzia diva ,baba levo ,juma lokole,kitenge na wengine .

Huyo mtangazaj anapaswa kuachishwa kazi ni mpuuz no moja kufurahia mtu kufa haiwezekan utoe taarifa ambayo huna uhakika nayo
 
Kiherehere ili waonekane wao ni wa kwanza kutoa taarifa .

Sijui wanawatoaga wapi hawa watangazaj wasiojua miiko ya utangazaji ,yaan wasaf Naona wamejaa wahuni wahuni tu kuanzia diva ,baba levo ,juma lokole,kitenge na wengine .

Huyo mtangazaj anapaswa kuachishwa kazi ni mpuuz no moja kufurahia mtu kufa haiwezekan utoe taarifa ambayo huna uhakika nayo
Familia nzima imejaa wahuni wahuni aka wauni wauni tu.
 
Connection hizo
Kiherehere ili waonekane wao ni wa kwanza kutoa taarifa .

Sijui wanawatoaga wapi hawa watangazaj wasiojua miiko ya utangazaji ,yaan wasaf Naona wamejaa wahuni wahuni tu kuanzia diva ,baba levo ,juma lokole,kitenge na wengine .

Huyo mtangazaj anapaswa kuachishwa kazi ni mpuuz no moja kufurahia mtu kufa haiwezekan utoe taarifa ambayo huna uhakika nayo
 
Mpumbafu sana!

Kitu alichokifanya ni kitendo cha kikatiri sana kwa wapenda soka wote.

Christian Eriksen mchezaji mwenye zero haters duniani.
Nimeogopa sana hadi nikaona hiyo michuano ishapoteza mvuto
 
Pale Wasafi watangazaji ni wachache sana
Kiherehere ili waonekane wao ni wa kwanza kutoa taarifa .

Sijui wanawatoaga wapi hawa watangazaj wasiojua miiko ya utangazaji ,yaan wasaf Naona wamejaa wahuni wahuni tu kuanzia diva ,baba levo ,juma lokole,kitenge na wengine .

Huyo mtangazaj anapaswa kuachishwa kazi ni mpuuz no moja kufurahia mtu kufa haiwezekan utoe taarifa ambayo huna uhakika nayo
 
Inashanganza hata dk 20 haijapita kashatangaza kifo ,hi ndo kiherehere cha kutaka kuonekana wa kwanza kutoa habari
Alitakiwa kusubiri taarifa ya daktari tena toka kwenye sources za kuaminika kama UEFA wenyewe sio taarifa za kuokota mitandaoni tu
 
Hii imekaaje, mtangazaji kudanganya? Atasema mdomo uliteleza kwanini hakuwa na subira mpaka ripoti ya daktari itoke?

Ni aibu kwa kituo na kwa mtangazaji mwenyewe. Unachukua habari za mitandaoni unazitangaza? Mnaanza kututia wasi wasi kusikiliza vipindi vyenu.
Naungana mkono hoja
 
Back
Top Bottom