Wasafi Fm huu utaratibu ni endelevu au?

Peramiho yetu

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2018
Posts
5,303
Reaction score
14,983
Leo nilikuwa nasikiliza kipind Cha michezo Cha asubuh kutoka wasafi fm

Nimeshangaa utaratibu Kama umebadilka hivi mwendesha kipind anawapigia simu wachambuzi wanaelezea kifup Sana baada ya hapo mziki matangazo ikipita robo saa mwendesha kipind anaongea kifup Sana matangazo mziki kwenda mbele

Sasa sijajua huu ndio utaratibu wao mpya au Kama n mpya bas jamaa wamefeli pakubwa Bora turudi kwa shemeji majizo walau kidogo japo nao wananikera matangazo tu mengi Zaid kushinda muda wa kipindi

Wakuu GENTAMYCINE NAWATAFUNA Scars na wengineo hebu nitoen tongotongo je huu ndio utaratibu endelevu pale usafini
 
I'm not part and parcel of Wasafi Media so I can't comment anything of your Concern. Thank You though....!!
 
Halafu kuna fununu kuwa kuna mtangazaji wao mmoja amekwenda Efm!!toka hapo naona kama kwa sasa hakina mvuto, naona kama Efm, na aboud fm, wako vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…