Wasafi FM imewanin'giniza wenzao Clouds FM baada ya kufungiwa na TCRA kuwaita majambazi

Wasafi FM imewanin'giniza wenzao Clouds FM baada ya kufungiwa na TCRA kuwaita majambazi

manafyale

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2014
Posts
277
Reaction score
158
Nimewasikia Wasafi fm leo asubui kupitia kwa mtangazaji wake anaijiita jina baya la Beberu, Zembwela alitoa mfano kuwa kifo hata cha jambazi ni lazima tuuzunike kwani na yeye ana mchango fulani katika jamii

Zembwela alikwenda mbali zaidi na kutoa mfano kuwa, kuna jambazi ambaye aliiba banki na akaenda kufanya uwekezaji kijijini kwao kama ujenzi wa shule, hospitali na ununuzi wa magali na kuajiri watu wengi hivyo kifo chake lazima tuuzunike.

Nimeshindwa kuelewa kuwa Beberu Zembwela alikosa kabisa mfano mwingine kwa watani na washindani wake hata kuwanin'giniza na kuwafananisha na majambazi.

===
Mkuu manafyale, nasikitika kukuarifu kuwa hujasikiliza au kuelewa vyema. Hicho kilikuwa ni kipindi cha Good morning kwenye segment ya Kurasa za Magazeti inayoongozwa na Kitenge na Zembwela( Chumvi na Ndimu). Walikuwa wakizungumzia kuguswa na kuhusika kwao na jambo hilo na hata kufananisha na msiba kwa jirani yako. Ndipo hapo Zembwela alitoa mfano wa kifo cha jambazi ambacho pia jirani lazima ahusike. Hakika, kwenye habari hiyo ya kufungiwa kwa Clouds, watangazaji hawakutia maneno yoyote kama ilivyo kawaida yao kwa habari nyinginezo.
 
Wewe ni kilaza mambo ya jambazi umeyahusianishaje na ishu ya kufungiwa
 
Mkuu manafyale, nasikitika kukuarifu kuwa hujasikiliza au kuelewa vyema. Hicho kilikuwa ni kipindi cha Good morning kwenye segment ya Kurasa za Magazeti inayoongozwa na Kitenge na Zembwela( Chumvi na Ndimu). Walikuwa wakizungumzia kuguswa na kuhusika kwao na jambo hilo na hata kufananisha na msiba kwa jirani yako. Ndipo hapo Zembwela alitoa mfano wa kifo cha jambazi ambacho pia jirani lazima ahusike. Hakika, kwenye habari hiyo ya kufungiwa kwa Clouds, watangazaji hawakutia maneno yoyote kama ilivyo kawaida yao kwa habari nyinginezo.
 
Nimewasikia Wasafi fm leo asubui kupitia kwa mtangazaji wake anaijiita jina baya la Beberu, Zembwela alitoa mfano kuwa kifo hata cha jambazi ni lazima tuuzunike kwani na yeye ana mchango fulani katika jamii

Zembwela alikwenda mbali zaidi na kutoa mfano kuwa, kuna jambazi ambaye aliiba banki na akaenda kufanya uwekezaji kijijini kwao kama ujenzi wa shule, hospitali na ununuzi wa magali na kuajiri watu wengi hivyo kifo chake lazima tuuzunike.

Nimeshindwa kuelewa kuwa Beberu Zembwela alikosa kabisa mfano mwingine kwa watani na washindani wake hata kuwanin'giniza na kuwafananisha na majambazi.

===
Hao wote ni CCM
 
Zembwela ni mpiga tarumbeta asieijua kesho yake.... pengine hajui kuna siku hizo media mbili zita merge kupunguza gharama za uendeshaji

Muache aendelee kutumia mdomo sana bila ubongo. .
na wale wamezidi tatizo kila kitu wao tu...ile station itakufa mua sio mrefu maana mmhhh wanakera
 
NYIE NDO MNAOHARIBU JAMII KWA KUPOTOSHA TAARIFA
sio tu anapotosha ila analeta siasa wakati wametenda kosa kweli...kwani ukiua utasema ulikuwa huna akili timamu???ndo ushaua sasa ni nyundo 2 ya 3 uko keko
 
hii ndo maana halisi ya serikali..sio ufanye kitu kwa kujua eti ntapewa onyo no na wanavojikombaga kila siku kwa ccm sasa yamewakuta sasa
 
Back
Top Bottom