Aah kumbe siku hizi umefulia na kuwa kapuku✋😃Nipo mkuu sema nimekuwa msomaji wa kimya kimya tu na mara nyingi napatikana makapuku forum
ALIKUWA ANASOMEA LUGHA?lugha ya watu hyo tusichekaneOscar amegraduate Masters juzi hapo jalalani.
Kwa fani aliyochagua ilipaswa aijue hiyo lugha ya watu.Se
ALIKUWA ANASOMEA LUGHA?lugha ya watu hyo tusichekane
Hao manabii wenyewe nao mbona Viingereza vyao vya manati vilevile?Japo kuna baadhi watatetea kuwa kina Putin hawatumii kiingereza lakini ni fedheha kubwa mno kwa msomi ambae kasoma kwa kutumia kiingereza akashindwa kufanya mazungumzo yenye tija kwa lugha hiyo.
Leo kwenye kipindi cha Jana na Leo cha Wasafi Fm watangazaji wote watatu wameshindwa kuwahoji kina Prophet Lovy kwa kiingereza sahihi.
Adeliah alikuwa kama hayupo studio mbali ya siku zote yeye kujifanya mjuaji, Edo Kumwembe 'ze ze' zilijaa kiasi cha wanaohojiwa kutoelewa maswali. Kuja kwa kubwa lao baba mjua yote Oscar Oscar, huyo ndio kabisa, hata mtoto wa darasa la nne wa hizi academics anamtoa knock out.
Ifike wakati wa Tz tuache kuishi kwa mazoea kuwa kiingereza si muhimu. Kwa dunia ya leo, kiingereza kina umuhimu mkubwa mno kama lugha kuu ya mawasiliano duniani.
Enzi za uandishi wa habari wa kina Benjamin Mkapa, muandishi alikuwa na uwezo wa kufanya mahojiano ya debate kabisa na mtu mwingine kwa kiingereza fasaha. Lakini leo kila mjinga anajiita muandishi wa habari lakini maswali wanayouliza unaona aibu wewe msikilizaji.
Wasafi FM mmetia aibu leo.
Kuanzia Dk ya 53.
View: https://www.youtube.com/live/VGlaoWS4pUc?si=uWeFxTjB0Eivp0oQ
UongoKwa fani aliyochagua ilipaswa aijue hiyo lugha ya watu.
Na hata kama hakusomea lugha, alisomeshwa alichosomea kwa lugha hiyo hiyo hivyo kuweka shaka juu hasa ya kiasi gani alielewa alichofundishwa.
Leo nilisikiliza kipindi cha Nuru FM alikuwa anahoji tatizo la ukahaba Tanga enjeol a Sabasaba kwa Minchi.Kilichonisitikisha nikuwa hata mtangazaji hana taarifa ni nani mmiliki. Mtangazaji na waliohojiwa wote wanasema mmiliki ni Serikall wakati mmiliki ni CCM. Tunapotoshwa mara ngapi kwa makanjanja wa habari kama p?
Leo nilisikiliza kipindi cha Nuru FM alikuwa anahoji tatizo la ukahaba Tanga enjeol a Sabasaba kwa Minchi.Kilichonisitikisha nikuwa hata mtangazaji hana taarifa ni nani mmiliki. Mtangazaji na waliohojiwa wote wanasema mmiliki ni Serikall wakati mmiliki ni CCM. Tunapotoshwa mara ngapi kwa makanjanja wa habari kama p?
Poa.Uongo
KabisaNafurahi kusikia hivyo acha tuendelee kusubiri kavideo labda katawekwa
SawaMi nakupinga kwasababu Engl sio lazma kujua Tatizo nyie wabongo hamko proud na lugha yenu
na mtu akishindwa kuongea lugha ya pili kwa ufasaha ni sawa sio ajabu
kwa sis wapenda mpira tunaona wachezaji hasa kutoka Latin America hawajui kabsa Kun aguero amekaa Uk kalibia miaka 8 lkn haja weza
lionel messi sikumbuki lin amehojiwa akaongea kingleza
Enzo Fernandez kwenye utambulisho anavo jiunga chelsea Walimtafutia mkaliman ,na sijawah ona wakichekwa kua hawajui Engl
kuna watu wanafanya kaz marekan na hawajui Kingl kwaio ni wew kua na mtazamo Hasi
Aza waiz 😂Kiingereza cha Kiswahili hukosi haya maneno.
Zee zeee, ofkozi, akchuali, samtaimz, yu noo...
Ongeze hapo.
Ndio! Mass communicationsSe
ALIKUWA ANASOMEA LUGHA?lugha ya watu hyo tusichekane
aibu kutojua kiingereza, hii ajabuNi aibu sana