Wasafi FM, wanatupitisha kwenye ulaghai na utapeli wa ujenzi wa Barabara zisizokuwa na tija Tanzania. Je ni mamlaka, Engineers au Rushwa?

Wasafi FM, wanatupitisha kwenye ulaghai na utapeli wa ujenzi wa Barabara zisizokuwa na tija Tanzania. Je ni mamlaka, Engineers au Rushwa?

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Kwanza niipongeze WASAFI FM, nadhani ndio chombo cha habari huwa wanajadiligi ishu za msingi sana.

Ni ngumu sana kwenda nchi za watu kukuta maujenzi ya barabara kila mwaka hususani maeneo ya mjini. Na hata barabara zinazojengwa mjini ndani ya miezi 6 barabara zinakuwa zimeharibika.

Je tatizo ni TANROADS?

je tatizo ni hatuna competent engineers who are skilled, qualified and capable in their field ?

Je tatizo ni Accountability ya supervision and monitoring ?

je tatizo ni Rais / Waziri kushindwa kusimamia subordinates wake na kuwawajibisha....?

Au tatizo ni mfumo wa RUSHWA ulioota mizizi ?

Rais na watu wako, hamuonagi aibu mkienda nchi za wenzenu hasa miundombinu ya mjini na barabara?







 
Kuna uzi nilishawai andika humu kuhusu TANROADS na TARURA wanavyotujengea barabara za hovyo zisizo na ubora.

Nchi hii ma engineer wetu wanachojua ni kumeza made sana shuleni ili kufaulu mitihani tu. Hawana ujuzi wowote wa kujenga na kusimamia miradi yenye ubora na viwango.

Kuna uzi nitakuja kupandisha siku kuhusu miradi ya Dodoma. Yale majengo kwa namna yalivyojengwa kwa viwango duni vya ubora tutegemee kuanza kubomoka na kushindwa kutumika baada ya miaka si zaidi ya 20 kuanzia sasa.
 
Kuna uzi nilishawai andika humu kuhusu TANROADS na TARURA wanavyotujengea barabara za hovyo zisizo na ubora.

Nchi hii ma engineer wetu wanachojua ni kumeza made sana shuleni ili kufaulu mitihani tu. Hawana ujuzi wowote wa kujenga na kusimamia miradi yenye ubora na viwango.

Kuna uzi nitakuja kupandisha siku kuhusu miradi ya Dodoma. Yale majengo kwa namna yalivyojengwa kwa viwango duni vya ubora tutegemee kuanza kubomoka na kushindwa kutumika baada ya miaka si zaidi ya 20 kuanzia sasa.
Hii ni hatari snaa aisee

Hizi taasisi zinahitaji reforms kubwa
Pamoja pia kuna tatizo kuanzia mamlaka za juu; hata vyuo vyetu wameshindwa kutoa wataalam wenye tija
 
Barabara nyingi sana sana hizi zilizopo chini ya tarura hazifagiliwi
Mchanga unazidi kujaa juu ya barabara.....baada ya muda fulani lami yote inapoteaa haionekani

Ova
 
Back
Top Bottom