Wasafi FM's Block 89: A group of noise makers

Wasafi FM's Block 89: A group of noise makers

Mashabiki wa dablisibii wanakuambia hiyo ndo hottest entertainment show for the meantime
hahah hamna kitu pale, shida inakuja kila mtu pale anataka kujikutta mkubwa, hataki kuwa Co host, kama Calipso kapita
Kiss Fm, Lake FM, Times FM, Clasic FM lakini naona kama tabia za wale watoto zimemkolea
 
Kiukweli hicho kipindi ndo nakiskia Leo nilikuwa sijui...

Kweli napitwa na mengi
 
Sijui ni umri au majukumu mbina na pitwa na vitu kama hivi. Niwe mkweli tu Mimi huwa naskiza redio asubuhi tu pb ya kina kipanya. Wakishaperuuz n kudadiiiiz na zima na redio michezo huwa naskiza SAA 2 usiku tena in habari hapa nyumbani tu na mchambuzi wangu mkubwa akiwa ni Tigana Rukinja
 
Hizo shoo za dizaini hio hua ni special kwa ajili ya vijana wanaobalehe/vijana waliomaliza form 4/bodaboda na watu kama hao.

dodge
hao vijana wanaoziangalia wanatoa wapi pesa za kununua MB ili wastream online..? maana mikoani haifiki
 
Wangemuacha jonijo peke yake mbona anaweza tu kuhost

Tatizo wametaka mfanano na xxl shida ndio hiyo ila wangemuacha jonijo kingebamba sana

Studio kali sana ubunifu 0%
Pale angebaki JONIJO na CALIPSO basi, wengine watafute kazi zingine hata kwenye TV huko
 
Back
Top Bottom