Wasafi kuisimamisha Tanzania kwenye sikukuu ya Iddi

Wasafi kuisimamisha Tanzania kwenye sikukuu ya Iddi

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Kwenye siku ya Iddi.

Lavalava atakuwa kigoma.

Mbosso atakuwa Tanga.

Rayvanny atakuwa Dar Live.

Harmonize atakuwa Nangwanda Mtwara.

Diamond atakuwa Kahama na Geita.

Zote ni show kubwa sio za mchangani.

Ama kwa hakika Wasafi ni level kubwa wengine wanasubiri.
 
Kwenye siku ya Iddi.

Lavalava atakuwa kigoma.

Mbosso atakuwa Tanga.

Rayvanny atakuwa Dar Live.

Harmonize atakuwa Nangwanda Mtwara.

Diamond atakuwa Kahama na Geita.

Zote ni show kubwa sio za mchangani.

Ama kwa hakika Wasafi ni level kubwa wengine wanasubiri.
WCB kwisha kazi Baba Tiffa ndo wakupiga show ya Idd kahama? nilitegemea Idd hii angekuwa mamtoni, kweli Shonza sio wakubishana nae.
 
WCB kwisha kazi Baba Tiffa ndo wakupiga show ya Idd kahama? nilitegemea Idd hii angekuwa mamtoni, kweli Shonza sio wakubishana nae.
Shonza anakula kuku Na mayai co wa mchezo mchezo
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kahama na geita hahahahaa kijana kwisha habari yake mxiiiieeeewwww
 
WCB kwisha kazi Baba Tiffa ndo wakupiga show ya Idd kahama? nilitegemea Idd hii angekuwa mamtoni, kweli Shonza sio wakubishana nae.
Naimani shughuli umeiona.
 
WCB kwisha kazi Baba Tiffa ndo wakupiga show ya Idd kahama? nilitegemea Idd hii angekuwa mamtoni, kweli Shonza sio wakubishana nae.
Naimani shughuli umeiona.
 
Naona baada ya Team Kiba na TeamSamata kubamba leo,mapigo yanajibiwa siku ya Eid? Hongereni sana,muanzilishi wa hizi team namheshim sana

team kiba mlivo vilaza lazima mmuingize mtu wenu aliyefulia kwenye ishu za diamond ili msafilie nyota kama kawaida yenu
 
Back
Top Bottom