comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Hapa ndio mwisho wa habari mengineyo ni mitazamo na mapenzi ya wasikilizaji na watazamaji kila mmoja kunogesha upande wake huku ukweli ukiwa wazi bila huyu huyu asingekuwepo
Wengi watakupinga kwa sababu umewaambia kitu ambacho hawapendi kukisikia. Ukweli ni kwamba almost radio zote zinacopy hadi flow na muda wa vipindi kutoka clouds. Sasa hivi unaweza kusema b12 ndio mtangazaji wa vipindi vyote vya mchana. Kwa kifupi wamemkopi hadi wa kina jonijo.Hao wasafi wako wana ubunifu gani mwaka huu sasa hawana hata vipindi,
Ubunifu nnaozungumzia hapa angalia vipindi vyoote vya burudani asilimia kubwa watangazaji wana copy na ku-paste xxl,muangalie dj ommy,hao akina jonijo wenyewe wana-copy clouds japo hawajafikia kiwango chao wanaongea tu hovyohovyo wakiwa studio yaani kama walevi flan hivi,angalia ndondo cup,angalia vipindi vya michezo na uchambuzi E-fm akina maulid kitenge wamecopy clouds,angalia vipindi vya mchana na matukio kama vile "leo tena" siku hizi karibia redio zote zimecopy,vipindi vya jioni pia...juzi tu hapa sports extra wameanza kuzungukia matawi ya mashabiki wa simba na yanga,na wana kampeni ya ku-boost ujazwaji wa uwanja,unajua kwa nini?wanataka timu zote ziingize mashabiki 60000,huoni kama jambo la kheri??
Ukija kwenye vipindi vya tv ndo kabisaaaa
Leo hii kuna wasafi festival,ile ni copy ya fiesta jombaaa...
Mnajitahidi sana kuichukia clouds lakini wale ndo wataalamu wa hizi kazi.
Jonijoo ni mtangazaji wa level zingine huoni ukubwa wake kwa kuwa media zote alizopitia ni Radio zisizo na coverage kubwa, nakupa mfano Kennedy wakati yuko E.A radio pamoja na ukubwa wake hakuwa anajulikana kama mtangazaji mkali alikuwa akifanya show moja na George Bantu.√Huyo jonijoo ni mtangazaji wa kawaida sana mkuu..sio mkali kihivyo..unaposema ni mkali bongo sijui unamlinganisha na nani??,labda na watangazaji wa mikoani
√Kimsingi Wasafi media platform ndo inayowabeba,na simaanishi kuwa ni wabaya,ila wanafanya vitu vya kawaida..
√Unaposema XXL wanapiga kelele unakuwa hueleweki..hivi kuna Show ya burudani yenye mpangilio mzuri kama XXL??..yaani segment zimepangwa na zinacover kila kitu..
√Finally,mmiliki wa Wasafi media ndo huyo huyo wa Clouds..sasa sijui mnapopasuana hapa ni kwa faida ya nani??..Yeye hawezi kuua upande mmoja ili apandishe mwingine,..Clouds tayari ni biashara iliyosimama huku wasafi ikiwa bado sana
Jonijoo umeanza kumjua lini mkuu? Na kipindi gani Wasafi wamekiiga kutoka Clouds mchana maana sasa hivi wanagonga madude tu vipindi wanavyo viwili The story book cha Mtiga Abdala bonge moja la pindi saa 12 pamoja na Block 89Wengi watakupinga kwa sababu umewaambia kitu ambacho hawapendi kukisikia. Ukweli ni kwamba almost radio zote zinacopy hadi flow na muda wa vipindi kutoka clouds. Sasa hivi unaweza kusema b12 ndio mtangazaji wa vipindi vyote vya mchana. Kwa kifupi wamemkopi hadi wa kina jonijo.
Mkuu umeeleweka..Jonijoo ni mtangazaji wa level zingine huoni ukubwa wake kwa kuwa media zote alizopitia ni Radio zisizo na coverage kubwa, nakupa mfano Kennedy wakati yuko E.A radio pamoja na ukubwa wake hakuwa anajulikana kama mtangazaji mkali alikuwa akifanya show moja na George Bantu.
.
Watu wa kulinganishwa na jonijoo
1.Kennedy the remmedy
2. Dulla planet
3. Real Ommy
Nimewataja hawa tu kutokana na namna wanavyohoji maswali kiubunifu na hawaulizi tu maswali ili mradi jambo liko kwenyr trend la hasha wanachimba hivi ndivyo Jonijoo alivyo.
Calypso ndio hata sioni wa kumlinganisha nae huyu ni mtangazaji wa kutangaza Radio za New york huko, Aaliyah huyu ni icon nyingine baada ya miaka mitatu ijayo utakuja kuniambia.
.
Umesema wasafi platform ndio inawabeba true, kwa sababu kwanza bado hawajaanza kujitangaza au kutumia nguvu kubwa wasikilizwe, unakumbuka wakati E-media inaanzishwa na Majizo namna nguvu kubwa ilivyotumika hadi DSM nzima ikawa ni E-FM tu?
.
Wakati E-FM inaanza wese tumepata sana kwa kuwa tu na sticker zao, watu wamepata fedha sana kwa kuwasikiliza tu, hayo Wasafi media hata hawajayafanya kwanza bado hawana vipindi vingi wala watangazaji wakutosha kama vyombo vikubwa.
.
Umeuliza kama kuna show ya kuizidi XXL kimpangilio ndio ipo nayo ni Planet Bongo yani pale ni kwa kuwa tu sijui hawapewi fungu la kutosha ila ni wakali sanaaa.
.
La mwisho hilo mimi silijui
Kweli mzeeHao wasafi wako wana ubunifu gani mwaka huu sasa hawana hata vipindi,
Ubunifu nnaozungumzia hapa angalia vipindi vyoote vya burudani asilimia kubwa watangazaji wana copy na ku-paste xxl,muangalie dj ommy,hao akina jonijo wenyewe wana-copy clouds japo hawajafikia kiwango chao wanaongea tu hovyohovyo wakiwa studio yaani kama walevi flan hivi,angalia ndondo cup,angalia vipindi vya michezo na uchambuzi E-fm akina maulid kitenge wamecopy clouds,angalia vipindi vya mchana na matukio kama vile "leo tena" siku hizi karibia redio zote zimecopy,vipindi vya jioni pia...juzi tu hapa sports extra wameanza kuzungukia matawi ya mashabiki wa simba na yanga,na wana kampeni ya ku-boost ujazwaji wa uwanja,unajua kwa nini?wanataka timu zote ziingize mashabiki 60000,huoni kama jambo la kheri??
Ukija kwenye vipindi vya tv ndo kabisaaaa
Leo hii kuna wasafi festival,ile ni copy ya fiesta jombaaa...
Mnajitahidi sana kuichukia clouds lakini wale ndo wataalamu wa hizi kazi.