Wasafi Media mnakwama wapi?

Joined
Jan 23, 2020
Posts
6
Reaction score
12
Nimekuwa nikifuatilia sana Wasafi Tv channel na radio pia nimeona ni jinsi gani hamjajipanga na mnafanya kazi kwa mazoea.

Naamini hata wafanyakazi wenu wengi hawana taaluma ya utangazaji wala uandaaji wa vipindi.

Watangazaji wenu wamekuwa na porojo nyingi na kutokuwa na taarifa sahihi.

Mfano kukosea hata majina na taarifa za watu mashuhuri, achilia mbali ubunifu na ukosefu wa maudhui.
 
Mkuu naomba unitajie majina mawili tu ya watu washuuri .
 
Ukiona hivyo ujue wewe sio mlengwa wao, Wasafi wana aina ya watu wamewalenga na porojo zao wanazifurahia. We yako ni TBC1 mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…