Wasafi Media na Crown Media kila moja aidha inashabikia Yanga au Simba

Wasafi Media na Crown Media kila moja aidha inashabikia Yanga au Simba

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Salaam wanajukwaa, kwa maoni yangu lakini (naomba niwe tayari kurekebishwa na wanaoitwa wajuaji)

Naona kabisa WASAFI FM/TV ni YANGA na CROWN FM/TV ni SIMBA.

Swali 1; Je, ni permanent marketing strategy za wamiliki ili kupata views na listeners wengi zaidi?

Swali 2; Je, ni timing tu na vitu vimekuja automatically?

Swali 3; Je, wenyewe au watu wao wa karibu wanalijua hili na wameliona kwa jicho la kibiashara? Au mpaka mmoja kati yao ambaye msaidizi wake anasoma uzi huu sasahv amsanue boss wake kwamba tukiweka mipango mizuri kwa fan base ya simba ya yanga nchi nzima tutapata milage kubwa sana pamoja na contents kwenye media House zetu.

Karibuni sana Jamiiforum (Home of Great thinkers)
 
Kweli mkuu sijui naomba nisanue ? Ambacho ninajua Dewji ni mwekezaji wa simba kwa sasa na GSM ni mdhamini wa yanga na ndio maana nikasema niko tayari kusahihishwa...
Umesema mo dewj ni mwekezaji wa Simba na Gsm ni mdhamini Wa yanga.
Swali:
1.mdhamini wa simba ni nani
2.mwekezaji wa yanga ni nani?
 
Umesema mo dewj ni mwekezaji wa Simba na Gsm ni mdhamini Wa yanga.
Swali:
1.mdhamini wa simba ni nani
2.mwekezaji wa yanga ni nani?
1. Mohamedi dewji
2. Saidi Gharib Mohamedi
 
Salaam wanajukwaa, kwa maoni yangu lakini (naomba niwe tayari kurekebishwa na wanaoitwa wajuaji)

Naona kabisa WASAFI FM/TV ni YANGA na CROWN FM/TV ni SIMBA.

Swali 1; Je, ni permanent marketing strategy za wamiliki ili kupata views na listeners wengi zaidi?

Swali 2; Je, ni timing tu na vitu vimekuja automatically?

Swali 3; Je, wenyewe au watu wao wa karibu wanalijua hili na wameliona kwa jicho la kibiashara? Au mpaka mmoja kati yao ambaye msaidizi wake anasoma uzi huu sasahv amsanue boss wake kwamba tukiweka mipango mizuri kwa fan base ya simba ya yanga nchi nzima tutapata milage kubwa sana pamoja na contents kwenye media House zetu.

Karibuni sana Jamiiforum (Home of Great thinkers)
May be may not! Lakin naona kuna kitu kinakwenda na mileage hapo! Diamond miaka kadhaa nyuma alikuwa Simba hakuna asiyejua
 
Alikiba na diamond ni wasanii wa MTU mmoja

Simba na yanga zinamilikiwa na MTU mmoja

Pia chadema na ccm ni chama kimoja.

Huo utofauti unauona ni kwasababu wewe upo mbali na hizo taasisi.
 
Katika vipindi vya TV na Radio, hasa Radio maana hawabanwi sana na Copyright, Soko liko ktk Michezo..

Na ukizungumzia Michezo, Soka au Football, ama Mpira wa miguu una wapenzi wengi,si Tanzania tu,Afrika na Duniani..

Simba na Yanga ndio timu kongwe na zenyew mashabiki wengi zaidi Tanzania .
 
Kweli mkuu sijui naomba nisanue ? Ambacho ninajua Dewji ni mwekezaji wa simba kwa sasa na GSM ni mdhamini wa yanga na ndio maana nikasema niko tayari kusahihishwa...
GSM ni mfadhili wa Yanga Wadhamini wa Yanga ni Mkuchika, Fatma Karume, Mwigulu Nchemba, Anthony Mavunde etc, kimsingi hawa ndio wamiliki wa timu ya Yanga nyuma ya mmiliki halisi.

Huyo Dewji hawezi kuachiwa hiyo timu ndio sababu unaona mchakato haukamiliki lakini timu nyingine zinauzwa kila siku na FCC wanakamilisha mchakato fasta.

Sasa tafuta bodi ya wadhamini ya Simba weka majina hapa utapata majibu mmiliki wa hizo timu ni nani.
 
Kwa Wasafi nakubaliana na wewe ni 100% ni Yanga,wakizungumza habari za Simba ni kuichamba tu mwanzo mwisho tena kwa chuki kabisa lakini habari za Yanga ni kuipamba kwa asilimia zote, kwa hiyo Crown sijui kwa vile bado haijafika huku Kanda ya Ziwa.Kwa mshabiki lia lia wa Simba ina kera sana kuisikiliza kipinda cha Sports Arena.
 
Back
Top Bottom