Wasafi Media wakomalia suala la utekaji na kupotea watu. Ni zamu ya mkuu wa nchi atoe tamko!

Wasafi Media wakomalia suala la utekaji na kupotea watu. Ni zamu ya mkuu wa nchi atoe tamko!

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Kwenye kipindi cha asubuhi ya leo wakati wakipitia magazeti wametumia takribani robo tatu ya muda wote wa kipindi hicho kuelezea kadhia ya kupotea kwa watu katika mazingira yasiyoeleweka huku mamlaka husika zikisalia kimya.

Ukweli ni kwamba ukijaribu kuvaa viatu vya wale waliopotelewa na wapendwa wao au jaribu kufikiria wewe ndio umetekwa na madhila unayopitia kwa kweli ni maumivu yasiyoelezeka.

Nimuombe sasa rais wetu atoke hadharani atoe tamko la kuviagiza vyombo vya ulinzi na usalama vishughulikiwa kazdhia hii inayoleta hofu na mtafaruku kwa raia.

Niombe vyombo vingine vya habari vipaze sauti nchi isinyamazie uvunjifu huu wa haki za binadamu ambao umejengeka kuwa wa kawaida sasa katika taifa letu.

Pia soma
 
Kwenye kipindi cha asubuhi ya leo wakati wakipitia magazeti wametumia takribani robo tatu ya muda wote wa kipindi hicho kuelezea kadhia ya kupotea kwa watu katika mazingira yasiyoeleweka huku mamlaka husika zikisalia kimya.

Ukweli ni kwamba ukijaribu kuvaa viatu vya wale waliopotelewa na wapendwa wao au jaribu kufikiria wewe ndio umetekwa na madhila unayopitia kwa kweli ni maumivu yasiyoelezeka.

Nimuombe sasa rais wetu atoke hadharani atoe tamko la kuviagiza vyombo vya ulinzi na usalama vishughulikiwa kazdhia hii inayoleta hofu na mtafaruku kwa raia.

Niombe vyombo vingine vya habari vipaze sauti nchi isinyamazie uvunjifu huu wa haki za binadamu ambao umejengeka kuwa wa kawaida sasa katika taifa letu.
Dramatization 🤔😔😔😔
 
Kwenye kipindi cha asubuhi ya leo wakati wakipitia magazeti wametumia takribani robo tatu ya muda wote wa kipindi hicho kuelezea kadhia ya kupotea kwa watu katika mazingira yasiyoeleweka huku mamlaka husika zikisalia kimya.

Ukweli ni kwamba ukijaribu kuvaa viatu vya wale waliopotelewa na wapendwa wao au jaribu kufikiria wewe ndio umetekwa na madhila unayopitia kwa kweli ni maumivu yasiyoelezeka.

Nimuombe sasa rais wetu atoke hadharani atoe tamko la kuviagiza vyombo vya ulinzi na usalama vishughulikiwa kazdhia hii inayoleta hofu na mtafaruku kwa raia.

Niombe vyombo vingine vya habari vipaze sauti nchi isinyamazie uvunjifu huu wa haki za binadamu ambao umejengeka kuwa wa kawaida sasa katika taifa letu.

Wazee wa minyama hakika wanatenda haki ,hawapepesi maneno black is black ,white is white..Kongore kwao Minyama na Matonge.
 
Kwenye kipindi cha asubuhi ya leo wakati wakipitia magazeti wametumia takribani robo tatu ya muda wote wa kipindi hicho kuelezea kadhia ya kupotea kwa watu katika mazingira yasiyoeleweka huku mamlaka husika zikisalia kimya.

Ukweli ni kwamba ukijaribu kuvaa viatu vya wale waliopotelewa na wapendwa wao au jaribu kufikiria wewe ndio umetekwa na madhila unayopitia kwa kweli ni maumivu yasiyoelezeka.

Nimuombe sasa rais wetu atoke hadharani atoe tamko la kuviagiza vyombo vya ulinzi na usalama vishughulikiwa kazdhia hii inayoleta hofu na mtafaruku kwa raia.

Niombe vyombo vingine vya habari vipaze sauti nchi isinyamazie uvunjifu huu wa haki za binadamu ambao umejengeka kuwa wa kawaida sasa katika taifa letu.
Ndiyo tunataka mambo kama haya yajadiliwe
 
Wasaidizi wake wana muaminisha kuwa ni minor issue
Kuna muda inabidi ajiongeze, si ana accounts kwenye mitandao ya kijamii na huwa anapitiaga pitiaga kwa mujibu wa maneno yake mwenyewe? Ameamua tu kukaa kimya kwa jeuri yake
 
Kuna muda inabidi ajiongeze, si ana accounts kwenye mitandao ya kijamii na huwa anapitiaga pitiaga kwa mujibu wa maneno yake mwenyewe? Ameamua tu kukaa kimya kwa jeuri yake
Madaraka matamu,,tena tutaona mapicha picha 2029 kwenda 2030 maana najua atataka kugombea tena.
 
Kuna muda inabidi ajiongeze, si ana accounts kwenye mitandao ya kijamii na huwa anapitiaga pitiaga kwa mujibu wa maneno yake mwenyewe? Ameamua tu kukaa kimya kwa jeuri yake
Either apitie mwenyewe au awe na separate team nje ya bunge na washauri wanaofanya hivyo. Its seems wanamficha or wana mislead makusudi kuficha madudu yao
 
Back
Top Bottom