Wasafi Mjipange kwanza kabla ya launch Website yenu

Kama wasafi wata pitia hii THREAD... USHAURI WANGU NI KWAMBA WANGEWEKA KIBOX CHA WATU KUTOA MAONI/COMMENTS(FACEBOOK COMMENT BOX) YAO MOJA KWA MOJA KWENYE SITE ILI WAJUE MATATIZO YANAYOTOKE KWENYE SITE ONTIME..
INGEKUA VYEMA SANA NA INGESAIDIA KUFANYA improvements za haraka ili watu wasiweboared...
 
matatizo mengine huwa hayaonekani mpaka bidhaa iingie sokoni.
 
Shida tu waliotengeneza platform (Set Up Limited - Clouds affiliates) hawako serious. Ukiweka bugs pembeni (zipo za kutosha), platform haipo optimized kuhudumia wateja wengi kwa mpigo na hasa walio kwenye maeneo tofauti duniani. Like seriously, it's hosted on Bluehost with an inferior US-based and US-centric CDN. Why not opt for AWS or GCP for serious performance or it's all about maximizing profit? Hope someone is paying attention and more work gets done.
 
Kwa sisi tuliozoea kupakua bure saiv imekula kwetu

Nyimbo mpya ya harmonize hadi leo sijaipata haipo for free download
 
Siku bloggers wote wakiamua kulink downloads from mkito na kwa wasafi.com basi wasanii watakuwa matajiri sana ushajiuliza hiyo? free downloads zinawarudisha nyuma sana wasanii wakitanzania
 
Siku bloggers wote wakiamua kulink downloads from mkito na kwa wasafi.com basi wasanii watakuwa matajiri sana ushajiuliza hiyo? free downloads zinawarudisha nyuma sana wasanii wakitanzania
Sure
 
Hivi hujawah buy umeme ukaambia system ipo down..mbona hujakimbia kuja kusema huku TANESCO wajipange. .wacha wivu bwanAa izo shida za mtandao zipo daily..hata kulipia umeme..kulipia road licence na kila kiti
 
Badala ya kumlaumu jaribuni kumshauri si kitu kibaya hatakuanzisha biashara ya kuuza maembe au gahawa kuna changamoto zake wataalamu wa IT mnaweza kutumia fursa pia uzuri wake makao makuu ya ofisi za WCB mnafahamu yalipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…