Wasafi mtufikirie na sisi wasanii tuliokuwa kwenye Fiesta

Wasafi mtufikirie na sisi wasanii tuliokuwa kwenye Fiesta

BABA TUPAC

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2015
Posts
1,527
Reaction score
3,811
Kama wengi wenu mnavyojua kuwa Fiesta ili ahilishwa na kusababisha hasara kubwa kwa wasanii wengi nikiwepo mimi, kuna nguo za madancer na vinginevyo ambavyo nilitegemea kuvilipa baada ya show lakini mambo yakawa tofauti.

Kimsingi, sisi wasanii tuliokuwa kwenye fiesta hatuna kinyongo na upande wowote. Sisi ni wafanya biashara na ndiomana hata tukiitwa kwenye kipaimara tutaenda as long as we get paid.

Hivyo, kama Wasafi wanavutiwa na msanii yeyote yule aliyekuwa kwenye show ya Fiesta wasisite kumfata na kufanya nae kazi. Hata mimi nipo tayari bila hofu yoyote.

NB; Fiesta mtumalizie malipo yetu ya show tulizopiga mikoa mingine
 
Hv hadi sasa kuna kada ambayo bafo haijasoma namba?
 
Kama wengi wenu mnavyojua kuwa Fiesta ili ahilishwa na kusababisha hasara kubwa kwa wasanii wengi nikiwepo mimi, kuna nguo za madancer na vinginevyo ambavyo nilitegemea kuvilipa baada ya show lakini mambo yakawa tofauti.

Kimsingi, sisi wasanii tuliokuwa kwenye fiesta hatuna kinyongo na upande wowote. Sisi ni wafanya biashara na ndiomana hata tukiitwa kwenye kipaimara tutaenda as long as we get paid.

Hivyo, kama Wasafi wanavutiwa na msanii yeyote yule aliyekuwa kwenye show ya Fiesta wasisite kumfata na kufanya nae kazi. Hata mimi nipo tayari bila hofu yoyote.

NB; Fiesta mtumalizie malipo yetu ya show tulizopiga mikoa mingine

Wewe ni msanii au njaa tu zinakusumbua?
Naona wiki hii nzima unatapatapa na kujinasibu kwamba we ni msanii
Nyie ndio wale hata vinyimbo vyenu sio vizuri wala havisikiki
Mnabebwabebwa tu hambebeki
 
muda sio mrefu wataanza kujipendekeza mana njaa sio kitu cha mchezo mchezo
 
Back
Top Bottom