Wasafi na page zao za udaku wanavyomhujumu Nandy

Wasafi na page zao za udaku wanavyomhujumu Nandy

abdulhamis

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
1,436
Reaction score
2,296
Habar wadau

Siku zote Hua na simama na Maneno Aliowahi kusema Alikiba juu ya Wasafi na Diamond kuwa wanapenda kuonyesha Mbele za watu kuwa wao hawana Tatizo lolote na mtu Ila uhalisia wa Ndan ni watu Wabaya Sana Tena sio watu wa kukaa nao sehemu moja

Yani wanakuibia Penseli halafu Wanasaidia kutafuta

Ni siku Mbili toka Nandy aachie yake yeye Pamoja Alikiba na kuiweka kwenye Boom play kitu ambacho kibiashara ni kizuri kwa upende wake Nandy ila hii Adui zake wanaitumia kama Fimbo kwake kwan Watanzania wengi huwa hawaangalii platform yoyote zaidi ya YouTube na Huwa wanaamin hicho ndio kipimo cha msanii mkubwa

Juzi pia Zuchu na Rayvan wameachia nyimbo yao na kuiweka YouTube na Kuanza kuipa promo na wala ilo sio kosa ila kosa na uhujum u ninaousemea ni huu

Nandy bado hajauweka wimbo wake YouTube na ili ni kosa naweza kusema sababu Mpaka sasa YouTube Kuna account zimeshauweka wimbo wa Nandy kwa account nyingi tofauti tofauti kitu ambacho kitapelekea Nandy asifanye vizuri kwenye YouTube hapo baadae atakapoamua kuweka wimbo wake

Pia page za udaku kama kina Lokole, udaku tz nk wanahamasisha watu wakaangalie wimbo wa Nandy YouTube kwenye account ambazo siyo Rasmi wakiwa na lengo la kwamba mziki uwafikie mashabiki na watanzania mapema kabla ya Nandy kuuweka kwenye account yake ya YouTube na kufanya Nandy afeli kwenye Upande wa view na Trend ili waendelee na Drama zao za Zuchu ni Tanzania one.
 
Mkuu hapa duniani hakuna usawa wala haki ni about fighting to the bitter end , hakuna huruma yyte , ni kuchawiana na kuporana fursa , unafanya mistake unachapika unainuka unaona upenyo kwa boya mwingine nawe unakatiza hapo hapo ..... Life linaenda , WCB wapo organized vibaya mno , vipaji vipo kila kitu kipo systematically , kamati za roho mbaya na fitina pia zipo ...usione wanasonga mbele , things are not easy kama tunavyofikri....

Ukweli ni kuwa Nandy utunzi wake wa mshairi upo chini Sana na hki ndo kitakachomwangusha , anaweza akamshirikisha msanii mkubwa lakn kuna vitu anaweza akakosa kibaya zaidi flow ya mashairi yake binafsi naona ni poor , Zuchu some how anaweza asiwe mzur wa mashairi ila ana comeback ya kutosha , huu wimbo alioimba na Rayvanny ameflow vibaya sana , nyimbo ya litawachoma pia Mond kambeba , support ambayo Nandy anakosa ....

Watanzania wanataka wimbo unaokamata hsia , mixing na kucheza kdog ndo utaona ngoma inapigwa kila Kona ......
 
Habar wadau

Siku zote Hua na simama na Maneno Alio wahi kusema Alikiba juu ya Wasaf na Diamond kua wanapenda kuonyesha Mbele za watu kua Wao hawana Tatizo lolote na mtu Ila uhalisia wa Ndan ni watu Wabaya Sana Tena sio watu wa kukaa nao sehem moja

Yani wanakuibia Pensen alafu Wanasaidia kutafuta

Ni siku Mbil toka Nand Aachie yake yeye Pamoja Alikiba na kuiweka kwenye Boom play kitu ambacho kibiashara ni kizur kwa upende wake Nandy ila hii Adui zake eanaitumia kama Fimbo kwake Kwan Watanzania wengi Hua hawaangalii platform yoyote Zaid ya YouTube na Hua wanaamin icho ndio kipimo cha msanii mkubwa

Juzi pia Zuchu na rayvan wameachia nyimbo yao na kuiweka YouTube na Kuanza kuipa promo na wala ilo sio kosa ila kosa na uhujum Ninao usemea ni huu

NAND bado hajauweka wimbo wake YouTube na ili ni kosa naweza kusema sababu Mpaka Sasa YouTube Kuna account zimesha uweka wimbo wa Nand kwa account nyingi tofaut tofaut kitu ambacho kitapelekea Nand asifanye vizur kwenye YouTube apo baadae atakapo Amua kuweka wimbo wake

Pia page za udaku kama kina Lokole, udaku tz nk wanaamasisha watu wakaangalie wimbo wa nandy YouTube kwenye account ambazo sio Rasm wakiwa na lengo la kwamba mziki uwafikie mashabiki na watanzania mapema kabla ya nandy kuuweka kwenye account yake ya YouTube na kufanya Nandy afely kwenye Upande wa view na Trend ili waendelee na Drama zao za Zuchu ni tanzania one

Nonsense kabisa kwani Youtube si kuna sehemu ya kulalamika mtu anavyo itumia kazi yako sasa kwanini asilalamike huko mnapenda kulalamikia vitu vya kipuuzi.Dunia ya sasa hivi ukikiweka kitu internet KILA MTU ANA NAFASI YA KUPAKUA na kukitumia atakavyo,ila bado una haki ya kulalamika ili kumzuia aliye chukua kazi yako asiendelee kukitumia hiko kitu.

Diamond kaachia album a boy from Tandale KENYA akaanza kuachia Itunes,lkn kesho yake nyimbo zake zikawa zinapatikana kwenye accounts kibao za watu wengine wa Youtube,inama hizo account zilikuwa zina milikiwa na Nandy?.

Wasingepost huo wimbo,BADO UNGESEMA WAMETUMWA NA WCB,yaani ili mradi MLALAMIKE.

NONSENSE.
 
Kama Alikiba na Nandy wanamashabiki wa Aina ya mtoa mada si shangai kwanini hawakui kimziki kwa style hii mtaendelea kuburuzwa na Wasafi na Diamond muda wote hiv Kwanini msifanye kazi nzuri badala ya kulalamika hata huyo diamond aliwahi kupitia kipindi kigumu Sana kwenye mziki wake mbona hakuwahi kulalamika Kama mnavyofanya nyie
 
Habar wadau

Siku zote Hua na simama na Maneno Alio wahi kusema Alikiba juu ya Wasaf na Diamond kua wanapenda kuonyesha Mbele za watu kua Wao hawana Tatizo lolote na mtu Ila uhalisia wa Ndan ni watu Wabaya Sana Tena sio watu wa kukaa nao sehem moja

Yani wanakuibia Pensen alafu Wanasaidia kutafuta

Ni siku Mbil toka Nand Aachie yake yeye Pamoja Alikiba na kuiweka kwenye Boom play kitu ambacho kibiashara ni kizur kwa upende wake Nandy ila hii Adui zake eanaitumia kama Fimbo kwake Kwan Watanzania wengi Hua hawaangalii platform yoyote Zaid ya YouTube na Hua wanaamin icho ndio kipimo cha msanii mkubwa

Juzi pia Zuchu na rayvan wameachia nyimbo yao na kuiweka YouTube na Kuanza kuipa promo na wala ilo sio kosa ila kosa na uhujum Ninao usemea ni huu

NAND bado hajauweka wimbo wake YouTube na ili ni kosa naweza kusema sababu Mpaka Sasa YouTube Kuna account zimesha uweka wimbo wa Nand kwa account nyingi tofaut tofaut kitu ambacho kitapelekea Nand asifanye vizur kwenye YouTube apo baadae atakapo Amua kuweka wimbo wake

Pia page za udaku kama kina Lokole, udaku tz nk wanaamasisha watu wakaangalie wimbo wa nandy YouTube kwenye account ambazo sio Rasm wakiwa na lengo la kwamba mziki uwafikie mashabiki na watanzania mapema kabla ya nandy kuuweka kwenye account yake ya YouTube na kufanya Nandy afely kwenye Upande wa view na Trend ili waendelee na Drama zao za Zuchu ni tanzania one
Kulalamika hakusaidii, ni kucheza kama wanavyocheza na kuwapiga. Hii ni capitalist world. Kulia lia hakusaidii. Huu mchezo hautaki hasira.
 
Habar wadau

Siku zote Hua na simama na Maneno Aliowahi kusema Alikiba juu ya Wasafi na Diamond kuwa wanapenda kuonyesha Mbele za watu kuwa wao hawana Tatizo lolote na mtu Ila uhalisia wa Ndan ni watu Wabaya Sana Tena sio watu wa kukaa nao sehemu moja

Yani wanakuibia Penseli halafu Wanasaidia kutafuta

Ni siku Mbili toka Nandy aachie yake yeye Pamoja Alikiba na kuiweka kwenye Boom play kitu ambacho kibiashara ni kizuri kwa upende wake Nandy ila hii Adui zake wanaitumia kama Fimbo kwake kwan Watanzania wengi huwa hawaangalii platform yoyote zaidi ya YouTube na Huwa wanaamin hicho ndio kipimo cha msanii mkubwa

Juzi pia Zuchu na Rayvan wameachia nyimbo yao na kuiweka YouTube na Kuanza kuipa promo na wala ilo sio kosa ila kosa na uhujum u ninaousemea ni huu

Nandy bado hajauweka wimbo wake YouTube na ili ni kosa naweza kusema sababu Mpaka sasa YouTube Kuna account zimeshauweka wimbo wa Nandy kwa account nyingi tofauti tofauti kitu ambacho kitapelekea Nandy asifanye vizuri kwenye YouTube hapo baadae atakapoamua kuweka wimbo wake

Pia page za udaku kama kina Lokole, udaku tz nk wanahamasisha watu wakaangalie wimbo wa Nandy YouTube kwenye account ambazo siyo Rasmi wakiwa na lengo la kwamba mziki uwafikie mashabiki na watanzania mapema kabla ya Nandy kuuweka kwenye account yake ya YouTube na kufanya Nandy afeli kwenye Upande wa view na Trend ili waendelee na Drama zao za Zuchu ni Tanzania one.
Ahaaa sasa nimeamini kuwa huna lolote zaidi ya wivu na chuki...tafuta hela
 
Kushabikia roho mbaya na uchawi ni uzwazwa. Ni kweli hao Wasafi wanafanya, lakini hilo siyo jamvo la kiutu na kiubinadamu mpaka uwaone mashujaa.

Ninyi ndio mko tayari hata kuuza Tigo, kupora na kuiba ilimradi mpate maslahi.

Stupid
Bro bado unaongea hisia tu hakuna fact yoyote ile, nyimbo za diamond Zuchu zinapandishwaga youtube na account fake kwahiyo ni nani ua anafanya hivyo. Mwambie Nandy afanye hit songs tu hakuna hujuma yoyote itafua dafu mbele ya wimbo mzuri aka yerusalema.
 
labda kwa kuvaa chupi kubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nandy yupo juuu tu acha chuki mnataka wanje ndio wawe wanamsifia msanii wa ndani tu acheni umavi nyie, ukienda nje watu kibao wanamsifia nandy ukiingia ndan tz watu wachache kama wewe vichuki kibao
 
Back
Top Bottom