Wasafi TV ichangamkie fursa ya kuonesha Boxing

Wasafi TV ichangamkie fursa ya kuonesha Boxing

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Azam media imesitisha rasmi kutoonesha mapambano ya boxing tena kwa kesi inayowakabili ya kuiba Idea ya neno "Vitasa".

Sasa Wasafi media iangalie namna ya kuwahi hiyo fursa ya kuonesha mapambano ya boxing kwa kuja na slogan na mbinu mpya za kukuza huo mchezo.

Watanzania kwa kiasi kikubwa wamekuwa wakiufuatilia sana huu mchezo hivyo maamuzi ya Azam media kusitisha rasmi kuonesha huu mchezo ni pigo kubwa sana kuanzia kwa mambondia wenyewe, walimu wao, mapromota, mashabiki na taifa kwa ujumla.

Fursa ipo wazi wachangamke ,mabondia wameshaanza kulia lia njaa huko.
 
Azam media imesitisha rasmi kutoonesha mapambano ya boxing tena kwa kesi inayowakabili ya kuiba Idea ya neno "Vitasa".

Sasa Wasafi media iangalie namna ya kuwahi hiyo fursa ya kuonesha mapambano ya boxing kwa kuja na slogan na mbinu mpya za kukuza huo mchezo.

Watanzania kwa kiasi kikubwa wamekuwa wakiufuatilia sana huu mchezo hivyo maamuzi ya Azam media kusitisha rasmi kuonesha huu mchezo ni pigo kubwa sana kuanzia kwa mambondia wenyewe, walimu wao, mapromota, mashabiki na taifa kwa ujumla.

Fursa ipo wazi wachangamke ,mabondia wameshaanza kulia lia njaa huko.
Imesitisha kutoonesha maana yake itaanza kuonesha, anyway..neno vitasa tunatumia mtaani kitambo tu,nililikuta kinondoni 2006
 
Sio kila kiatu kikiwa size yako kitakutosha.
 
Clouds waliwahi kuandaa mapambano nadhani ilikuwa mwaka jana, maandalizi mabovu na halina quality.
Tz hapa n Azam Media pekee ndio wanarusha channels kwa HD, TBC n mara chache tena kwenye Aridhio hao wengine wote wanaonyesha SD.
 
Back
Top Bottom