GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Hii media imekuja kwa kasi sana, kweli mmeweza kukamata pakubwa kwenye tasnia ya habari mawasiliano na burudani.
Lakini bado mnasafari ndefu sana kufikia media zilizotangulia, msijione mnaweza kufika 10 kabla ya kuanza 1, ni vema kujifua zaidi kupata maujuzi kabla ya kuanza kufanya mambo ambayo ni makubwa sana kwa uwezo wenu.
Jifunzeni kwa wakongwe waliowatangulia itakuwa bora zaidi kuliko kukurupuka na kutuletea migando migando kwenye runinga zetu
Huku uswahilini watu wamejiandaa kufuatilia kwa hamu shoo ya Rayvan akiamsha amsha nyie mnaleta maziwa mgando mnaboa sana nyie madogo, tangu juzi vipindi vya live kule Arusha mliboa mpaka siku ya jana kwenye shoo yenyewe jukwaani ilikuwa ni utopole mwingi sana.
Tangu kuzaliwa sijaona matangazo ya live yenye ubovu kama ule au wakubwa zenu clouds media wakileta matusi kama yale kwenye FIESTA zao, inabidi mfunge safari mpaka CMG mkaulize wanatumia njia gani na vifaa gani kurusha matangazo mubashara.
Lakini bado mnasafari ndefu sana kufikia media zilizotangulia, msijione mnaweza kufika 10 kabla ya kuanza 1, ni vema kujifua zaidi kupata maujuzi kabla ya kuanza kufanya mambo ambayo ni makubwa sana kwa uwezo wenu.
Jifunzeni kwa wakongwe waliowatangulia itakuwa bora zaidi kuliko kukurupuka na kutuletea migando migando kwenye runinga zetu
Huku uswahilini watu wamejiandaa kufuatilia kwa hamu shoo ya Rayvan akiamsha amsha nyie mnaleta maziwa mgando mnaboa sana nyie madogo, tangu juzi vipindi vya live kule Arusha mliboa mpaka siku ya jana kwenye shoo yenyewe jukwaani ilikuwa ni utopole mwingi sana.
Tangu kuzaliwa sijaona matangazo ya live yenye ubovu kama ule au wakubwa zenu clouds media wakileta matusi kama yale kwenye FIESTA zao, inabidi mfunge safari mpaka CMG mkaulize wanatumia njia gani na vifaa gani kurusha matangazo mubashara.