Hapa naangalia Wasafi TV.
Naona wanaplay nyimbo ya HAKUNAGA ya Suma Lee ambaye kwa sasa ni mfia dini alisilimu muda mrefu sana.
Imekuaje wamepiga hii nyimbo wakati mwenyewe alizuia hili suala.
Je, kuna kosa kama ataamua kuwashtaki wanasheria mnijibu hapa.
Nawasilisha
Naona wanaplay nyimbo ya HAKUNAGA ya Suma Lee ambaye kwa sasa ni mfia dini alisilimu muda mrefu sana.
Imekuaje wamepiga hii nyimbo wakati mwenyewe alizuia hili suala.
Je, kuna kosa kama ataamua kuwashtaki wanasheria mnijibu hapa.
Nawasilisha