MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Japokuwa Mangwea hakuwa mfanyakazi wa Clouds lakini mwamba alipoondoka clouds walijitahidi sana kumuenzi. Ngoma za mwamba zilipigwa siku nzima.
Hapo hatujaongelea mtu kama Ruge, wakina Kibonde na Gardner.
Huku Wasafi chini ya meneja vipindi wao baba Levo wako wako tu. Kuanzia usiku, asbuhi, mchana na jioni vipindi vimeendelea kama kawaida. Sijui boss anaona atapoteza muda.
Hii inaset picha mbaya kwa sìsi wafanyakazi wengine tuliobakia hasahasa sisi watu wa kipindi cha michezo. Siku tukiondoka hamna hata namna yoyote ya maana ya kutukumbuka.
Nimecopy mtandaoni.
Hapo hatujaongelea mtu kama Ruge, wakina Kibonde na Gardner.
Huku Wasafi chini ya meneja vipindi wao baba Levo wako wako tu. Kuanzia usiku, asbuhi, mchana na jioni vipindi vimeendelea kama kawaida. Sijui boss anaona atapoteza muda.
Hii inaset picha mbaya kwa sìsi wafanyakazi wengine tuliobakia hasahasa sisi watu wa kipindi cha michezo. Siku tukiondoka hamna hata namna yoyote ya maana ya kutukumbuka.
Nimecopy mtandaoni.