Wasafi wamemsajili Lilian Mwasha kutoka Clouds FM

Wasafi wamemsajili Lilian Mwasha kutoka Clouds FM

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Wasafi wamezidi kuendelea kufanya usajili baada ya kuwasajili Kitenge, Edo Kumwembe na Ahmed Abdallah hawajaishia hapo baada hivi punde kumsajili mwanamama machachari na mwenye sauti ya kuvutia Lilian Mwasha kutoka Clouds FM ambapo alikuwa ni miongoni mwa matangazaji wa kipindi cha breakfast.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
mmmh hivi lillian Mwasha na uzee ule ataenda kuleta mabadiriko gani pale ya kiubunifu mtu mwenyewe kutw kuhangaika mara kaenda israel mara kawa mchungaji
 
Wasafi wamezidi kuendelea kufanya usajili baada ya kuwasajili kitenge,edo kumwembe na Ahmed abdallah hawajaishia hapo baada hiv punde kumsajili mwana mama machachari na mwenye sauti ya kuvutia Lilian mwasha kutoka clouds fm ambapo alikuwa ni miongoni mwa matangazaji wa kipindi Cha break fast.

Lilian Mwasha au Lilian Anthony? Ahmed Abdallah wa AZAM? Breakfast au Terminal?
 
Wasafi wamezidi kuendelea kufanya usajili baada ya kuwasajili kitenge,edo kumwembe na Ahmed abdallah hawajaishia hapo baada hiv punde kumsajili mwana mama machachari na mwenye sauti ya kuvutia Lilian mwasha kutoka clouds fm ambapo alikuwa ni miongoni mwa matangazaji wa kipindi Cha break fast.
Haitanoga sasa wakijazana sehemu moja.. Hakutakuwa na jipya
 
Mimi nilisikiliza sana terminal walizokua wanamualika Dr. Elie.V.D, tofauti na hapo niliona watu wengi walioalikwa hapo hawakua na ujazo kwenye kipindi.

Halafu yeye Lillian na mwenzie Haris walizidisha mno kuongea. Walikua wanaongea sana mpaka wanaharibu ladha.
Alikua anatangaza terminal Na haris kapga
Kila jamamos aiseee nlikua skos
Kumskiliza
 
Wasafi wamezidi kuendelea kufanya usajili baada ya kuwasajili kitenge,edo kumwembe na Ahmed abdallah hawajaishia hapo baada hiv punde kumsajili mwana mama machachari na mwenye sauti ya kuvutia Lilian mwasha kutoka clouds fm ambapo alikuwa ni miongoni mwa matangazaji wa kipindi Cha break fast.
Jamaa unampa t***u diamond?
 
Daaah hii kweli ni Citizen Journalism,Yaani mleta mada hana info kabisa!!The breakfast ndo nini au the breakfast club??Naona Chalii kashindwa kutofautisha Sauti ya Barbara Hassan na uyu mpiga kelele!!Lilian aliwahi kutangaza jahazi segment ya Sister sister akiwa na Mwijaku enzi za kina Likuda,Mussa Hussein na Marehemu Kibonde,saiv anatangaza Temino na Yule Hariss Hakupiga kila jumamosi saa9.
 
Back
Top Bottom