Wasafi wamkaribisha Mzee Mohamed said, amwaga sumu.

Wasafi wamkaribisha Mzee Mohamed said, amwaga sumu.

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Sina shida ya mzee wetu kukaribishwa, ila ni ile hali yake ya kuamini uhuru wa Tanganyika uliletwa na waislam kwa hiyo ndio wenye haki ya kutawala hapa nchini. kuna hoja moja kuhusu ugomvi wa Bibi Titi na Nyerere ameiongea, interest yangu ni kwenye Agakhan kujenga shule za waislam, kama yupo humu atuambie, ni shule zipo aghakan za kiislam alizijenga, azitaje tu tuzijue. maana amesema agakan alijenga shule nyingi za waislaml tujuavyo, kama isingekuwa nyerere kupora shule za wakatoliki, waislam hadi leo wangekuwa hawana shule. Mohamed Said
 
Mohamed Said anaongea ukweli usiopendwa. Wasafi ni media ngeni tu ndio maana imemkaribisha, ila itapigwa stop soon kumualika huyu Mzee. Ukweli wake unagusa sehemu mbaya.
 
Mohamed Said anaongea ukweli usiopendwa. Wasafi ni media ngeni tu ndio maana imemkaribisha, ila itapigwa stop soon kumualika huyu Mzee. Ukweli wake unagusa sehemu mbaya.
Humfahamu huyo mzee,mzee anatumia ukweli kidogo kuchanganya na uongo mwingi wasio kuwa na akili ndio wataona yuko sawa ila huyo mzee ni mpotoshaji mkubwa na mharibifu mwenye malengo ovu.

Anapaswa kupuuzwa kwa kila namna.
 
Binafsi hata kabla sijaongelea ukweli au uongo wa hio statement nadhani cha kujiuliza so what ?

Kwamba kuna shule zilizokuwa zinafukuza watu au kukaribisha watu sababu ya Imani zao baada ya Uhuru..., Sababu binafsi zingekuwepo shule za Waislamu, Wakristo, n.k. nadhani lisingekuwa jambo Jema...
 
Humfahamu huyo mzee,mzee anatumia ukweli kidogo kuchanganya na uongo mwingi wasio kuwa na akili ndio wataona yuko sawa ila huyo mzee ni mpotoshaji mkubwa na mharibifu mwenye malengo ovu.

Anapaswa kupuuzwa kwa kila namna.
kuna vikabrasha aliviandikaga huwa anaamini ni vitabu sasa anataka kumuaminisha kila mtu uongo aliouandika mle ndani. utafikiri alikuwa wamekaa meza moja na hao aliowaandika, kumbe ni story za wacheza bao na wala ubwabwa wa uswahilini tu. uongo mtupu, na kutaka kuchafua umoja wa kitanzania uliodumu kwa miaka mingi. imagine huyu babu angekuwa rais, nchi hii ingekuwa afghanistan.
 
Moja kati ya watu wapumbavu kuwahi kutokea kwenye hii nchi mmoja wapo ni hicho kizee mdini kupita kiasi yeye kila siku mada zake waislamu walionewa hivi waislamu walionewa vile upumbavu mtupu pumba kabisa 🚮🚮🚮
 
Sina shida ya mzee wetu kukaribishwa, ila ni ile hali yake ya kuamini uhuru wa Tanganyika uliletwa na waislam kwa hiyo ndio wenye haki ya kutawala hapa nchini. kuna hoja moja kuhusu ugomvi wa Bibi Titi na Nyerere ameiongea, interest yangu ni kwenye Agakhan kujenga shule za waislam, kama yupo humu atuambie, ni shule zipo aghakan za kiislam alizijenga, azitaje tu tuzijue. maana amesema agakan alijenga shule nyingi za waislaml tujuavyo, kama isingekuwa nyerere kupora shule za wakatoliki, waislam hadi leo wangekuwa hawana shule. Mohamed Said
Huyo mzee hamnazo, ana mtazamo wa hovyo sana, kwani nchi inaongozwa na dini au katiba?
 
Moja kati ya watu wapumbavu kuwahi kutokea kwenye hii nchi mmoja wapo ni hicho kizee mdini kupita kiasi yeye kila siku mada zake waislamu walionewa hivi waislamu walionewa vile upumbavu mtupu pumba kabisa 🚮🚮🚮
Hawezi kumpita babako kwa upumbavu mkuu...
 
Linapokuja suala la amani, serikali haipaswi kucheka na mtu awe muislamu,mkristo au hata kama hana dini. Vita vya kidini ni vibaya sana na mtu anayehatarisha usalama basi inabidi awekwe kwenye mikono salama kwa manufaa vya wapenda amani.
 
Mzee anatamani sana kuwa mwarabu. Na haiwezekani yeye kuwa mwarabu akiwa hai. Kwa iyo hadi afe na hilo litokee lazima afe akiwa muislamu. Ndo maana unaona waislam wengi weusi wana sijdah wanang'ang'ania kwenye uislamu sababu kuu wawe waarabu baada ya kufa.
 
Back
Top Bottom