Wasafibet kitengo chao cha Huduma kwa Wateja kinawaharibia kwa kutoa lugha chafu na kuibia wateja!

Wasafibet kitengo chao cha Huduma kwa Wateja kinawaharibia kwa kutoa lugha chafu na kuibia wateja!

marisi schwein

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
1,037
Reaction score
3,146
Mimi ni mteja mzuri tu wa betting companies( ambaye sometimes nabet mpaka 40M kwa mwezi). Miezi kadhaa iliyopita nilihamia Wasafibet baada ya kuona wanatoa odds nzuri na mechi nyingi zaidi in play na app yao ni user friendly( kwa hilo nawapongeza na kuwapa maua yao). Kinachonitatiza ni kitengo chao cha huduma kwa wateja hasa upande wa wadada ni watu wenye kauli chafu na za kuudhi kwa wateja. Wengi wao inaonekana hawajui kanuni za betting wala sheria zake. Kiufupi wameajiri watu wasiojua betting ni nini mpaka unajiuliza km kampuni imeajiri kwa upendeleo wa ndg au kwa rushwa ya ngono? Kuna wengine huenda mbali na kusema hawawezi kufanywa chochote!

Cha pili, ni pale mkeka umeshinda wanaamua kuvoid ili kumuibia mteja km ushahidi chini unavyoonesha. Ila mechi ulizoliwa hawazifuti
Screenshot_20241001-093414.png
Screenshot_20241001-093926.png
Screenshot_20241001-093911.png
 

Attachments

  • Screenshot_20241001-093414.png
    Screenshot_20241001-093414.png
    196.1 KB · Views: 5
  • Screenshot_20241001-093414.png
    Screenshot_20241001-093414.png
    196.1 KB · Views: 5
Back
Top Bottom