Wasafiri wenzangu mimi nina gundu au?

kanuga

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
743
Reaction score
1,306
Sijawahi kusafiri nikakaa siti moja na mtoto mzuri nimpige mapochopocho au vyumba tamati ya safari. Kila siku nakutana na ngumu nyeusi mnyama Diamond, simba, valeur, konyagi, gongo..
 
Sijawahi kusafiri nikaa siti moja na mtoto mzuri nimpige mapochopocho au vyumbu tamati ya safari. Kilasiku nakutana na Ngumu nyeusi mnywaaa diamond , Simba,Value,konyagi,Gongo...
Hujui unaepushwa na nini.
 
kanuga, Nilikaa na mmoja kwenye BM Coach kutoka Moro- Dar, nilishindwa kupiga voko/niliishiwa
 
Nilikaa na mmoja kwenye BM Coach kutoka Moro- Dar, nilishindwa kupiga voko/niliishiwa points.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukitaka kufanikiwa
Anzisha mada nyepesi
 
Sijawahi kusafiri nikakaa siti moja na mtoto mzuri nimpige mapochopocho au vyumba tamati ya safari. Kilasiku nakutana na ngumu nyeusi mnyama Diamond , Simba,Value,konyagi,Gongo...

Hamia huku, hunahaja ya kusubiri safari ya bus kitu kwenye daladala tu na mzigo unautafuna kabisa


 
Kuna siku nilitoka Mtwara to Dar!
Nilikaa na mbaba huyooo, Mungu ambariki sana! Yaani hata ukipiga chafya anakupa pole! Safari yangu ilikuwa njema sana, kila siku nikisali huwa namuombea sana!

N.B hata jina simjui, na yeye hajui hata jina langu!
 
Sijawahi kusafiri nikakaa siti moja na mtoto mzuri nimpige mapochopocho au vyumba tamati ya safari. Kila siku nakutana na ngumu nyeusi mnyama Diamond, simba, valeur, konyagi, gongo..
Pole mwenzio ninabahati nao hatari 😀😀
Siku ya kwanza alikuwa Dar - Iringa nikala mzigo jioni hiyohiyo tulipofika iringa town
Siku ya pili ilikuwa ni safari ya Dom -Dar ndani ya Kimbinyiko full kiyoyozi nikakutana na katoto ka chuo nikala mate tu
Baada ya wiki tatu kakaniletea mzigo nikiwa mkoa fulani nakabamiza
Nilidumu nae sana kama mwaka hivi then nikapiga chini
Ni watamu sana ila halahala kwa siku ya kwanza tumia condom mkishapima uza mechi
 
Sijawahi kusafiri nikakaa siti moja na mtoto mzuri nimpige mapochopocho au vyumba tamati ya safari. Kila siku nakutana na ngumu nyeusi mnyama Diamond, simba, valeur, konyagi, gongo..
na utakua una gundu kweli aisee,,watoto wakali wengi sana ndani ya mabasi mkuu,,mimi nimeanza kuwala tangu miaka ya 1994 enzi za SAHIB BUS,toka arusha to dom,,mnafika dom usiku mkali mtoto hajui pa kuelekea,,,na hana wa kumpokea,,yaani hata km cjakaa nae siti moja mie ndani yagari naangaza macho gari yote kukagua binti mkali alie peke yake,tukisimama mahali naaza mazoea ya kisenge kumsalimia na kuuliza anaenda hadi wapi,,nikisikia tu anaenda dom na yuko peke yake nazidisha mazoea,,na km anashukia njiani naaza kucheki mwingine,,hadi nipate,,ctoki kapa mkuu,,we shauri yako,,,haka katabia kameninogea hadi leo hii,sema tu cku hizi najipendekeza kumnunulia msosi,bites na kinywaji,,,akikubali tu kula basi ajue ameliwa,,km sio leo basi ataacha namba aliwe kesho au keshokutwa,,changamka Mangi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…