Wasafirishaji abiria na hali mbaya ya vyombo vya usafirishaji

Wasafirishaji abiria na hali mbaya ya vyombo vya usafirishaji

mwanamanzi

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2017
Posts
270
Reaction score
354
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.

Mada kuu ni hali ya baadhi ya vyombo vya usafirishaji vinavyohatarisha usalama wa abiria.

Picha chini ni sehemu ya seat ya abiria kwenye daladala ambapo mabati yamekatika na yameachwa kiasi kwamba ni hatari kwa abiria si tu endapo itatokea ajali bali hata ukigusa tu kwa bahati mbaya.

Jamani hii ni biashara kama biashara zingine kuiweka katika hali nzuri ni sehemu ya huduma Bora kwa wateja!

20210525_144107.jpg
 
Tulieni nyie mbona hivyo vyombo vipo vizuri
20210525_153046.jpg
20210525_153052.jpg
20210525_153110.jpg
20210525_153116.jpg
20210525_153124.jpg
 
Back
Top Bottom