Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Ndio maana sijapigia siku 365 mkuu. Lengo ni kuweka hizo unforeseen events zote.-Hilo gari una uhakika wa abiria wa Kahama tuuu!
Jibu ni hapana. Hivyo,hesabu hiyo kwa siku huwezi kuipata.
-unajua maintenance ya gari?
-umeshaweka gharama utakazoibiwa?
Je, baada ya wiki likipata ajali?
Kwenye hesabu za biashara ukilenga faida bila kukumbuka na hasara utalia. Sema kwa hesabu zako,anaongezea kidogo anapata za mchina 2, hesabu itakayolala ndo hiyo hiyo
Hesabu zako ziko vizuri lakini huwezi toka Dar Asubuhi jioni ukafika Kahama
Bado kuna mafuta + vipuli
Huu ni mwandiko wa mtu mzima mwenye akili zakeBiashara ya Gari:
Phase One: Inaingiza: Haili kabisa(Garage)—Ndio kipindi cha kukusanya hasa hela. PROFIT 95%
Phase Two: Inaingiza: Garage kidogo—Bado unakusanya kingi, ila sio kama phase one. PROFIT 80%
Phase One & Two just two years.
Phase Three: Inaingiza: Inakula kiasi kikubwa (Garage 50-60% of Running Cost). PROFIT 40-50%
Huu ni mwaka wa Tatu.
Hapa unapeleka njia ya pori, inafanya kazi kiangazi tu sababu abiria ni wengi, hawachagui gari, ni wavumilivu kwa delays tofauti na wamjini, mizigo mingi na abiria unabeba upto 50% zaidi ya uwezo—hence big revenue; So cash flow ni kubwa. MAY to OCTOBER.
Business model hii ndio inafanya kampuni kama Allys imedumu sana kwenye biashara. Nguzo ya Allys ni upcountry routes.
50×50=milioni mbili na nusuJust imagine milioni 700+ afu unapakia abiria 50 kwa elfu 50 Dar Kahama, unalipa wafanyakazi, engine kubwa inanyonya mafuta kama walevi wa KASKAZINI.
Bado ukodi ofisi, trafiki, Latra etc!!
Mnapigaje hapo???View attachment 2854877
Aiseee!! Kampuni gani hiyo?Scania kwa 710 Mil = wachina wawili, na kama wakiacha kuweka vile vitaa vya rangirangi nyingi wanavyochanganyikiwa navyo waluguru, basi ni wachina watatu
Kodi za bus kama sijakosea n milion 3, flat rateKatika iyo 50,000 Kuna Kodi zaidi ya 25% pia,,Kuna zaidi ya 25% Tena kama gharama za uendeshaji,biashara ina faida kwa Hali tata sana mpaka uingie ngomani ucheze ndio utaelewa utamu wa mchezo,,mfanyabiashara anataka ukwasi au wanaita CASHFLOW au tuseme EQUITY ili aweze kufanya mambo mengi kwa mapana hapo ndio anapoweza kutengeneza faida kwa haraka haraka utaona kama anapoteza au hapati faida lakini kwa uhalisia anapata faida maradufu.
Milioni tatu kwa mwezi??Kodi za bus kama sijakosea n milion 3, flat rate
Mkuu,-Hilo gari una uhakika wa abiria wa Kahama tuuu!
Jibu ni hapana. Hivyo,hesabu hiyo kwa siku huwezi kuipata.
-unajua maintenance ya gari?
-umeshaweka gharama utakazoibiwa?
Je, baada ya wiki likipata ajali?
Kwenye hesabu za biashara ukilenga faida bila kukumbuka na hasara utalia. Sema kwa hesabu zako,anaongezea kidogo anapata za mchina 2, hesabu itakayolala ndo hiyo hiyo
Bihashara inataka kujitoa!!Mkuu,
Kwa mawazo yako huwezi kuwekeza maana hata sisi binadamu mwisho wetu Ni kifo
Wekeza Kama kesho haipo
Tena kweli kweliBihashara inataka kujitoa!!
Na kuroga piaTena kweli kweli
Kuna pesa inapatikana kwenye mizigo pia.50x50,000 = 2,500,000 hii ni kwa siku.
2,500,000 x 280 = 700,000,000 (tume assume lina fanya kazi siku 280 tu kwa mwaka).
Chukua 700,000,000 x miaka 3 unakua hujarudisha hela ya kununulia? Yani hapo weka na hizo gharama zote kuanzia matengenezo nk nk!
Ungeiwekea namba huu ufafanuzi nadhani ndiyo jibu sahihi la thread hii..Ili upige hesabu sahihi za biashara unahitaji kujua umbali wa kutoka point A-to-B
Bei ya bus
Durability (longevity) lina uwezo wa kwenda miles ngapi kuanzia jipya (au uliponunua), hadi kuwa mkangafu (ili uweke na hela ya kununua lingine).
Siku ngapi kwa mwaka litakuwa barabarani
Idadi ya viti kwenye bus
Uwezo wa bus kula mafuta ya litre moja per mile, bei ya mafuta kwa litre.
Unafanya full services kila baada ya miles ngapi na gharama zake.
Matairi yana uwezo wa kwenda miles ngapi kabla ya kutakiwa kubadilishwa.
Bei ya tairi moja
Asilimia ngapi ya administration costs za ofisini unataka basi libebe
Fees za serikali kwa mwaka
Insurance cover kwa mwaka
Mshahara wa madereva, konda na mhududumu kwa mwaka.
☝️Hizo info unaweza fanyia hesabu za cost ya kuendesha basi kwa mile 1, wewe sasa uamue kiasi gani cha faida uongeze kila miłe moja kwa kiti.
Binafsi sina biashara ya busUngeiwekea namba huu ufafanuzi nadhani ndiyo jibu sahihi la thread hii..
MwakaMilioni tatu kwa mwezi??