Nashindwa kuwasaidia kwa sababu wapo kwenye picha mkuu
[emoji106][emoji106][emoji106] mkuuHiki ni miongoni mwa vichwa hapa JF
Kwani wameshafungwa hao au?Hao ni Manji, Sign na James.
Ningumu kuwasaidia kwasababu ya kesi zao ni Uhujumu na Matumizi ya Ngada