T thatha JF-Expert Member Joined Apr 29, 2011 Posts 15,340 Reaction score 1,570 Sep 26, 2013 #1 Nimekuwa member mpya, naombeni ushirikiano wenu.
Chabruma JF-Expert Member Joined Sep 19, 2013 Posts 5,660 Reaction score 1,780 Sep 26, 2013 #2 karibu sana. ila jitahidi kuvumilia matusi kwenye jukwaa hili hasa ukiwa against na chadema
Bubu Msemaovyo JF-Expert Member Joined May 9, 2007 Posts 4,120 Reaction score 3,468 Sep 26, 2013 #3 Bonsoiree said: Nimekuwa member mpya, naombeni ushirikiano wenu. Click to expand... Karibu sana tupo pamoja #WeAreOne
Bonsoiree said: Nimekuwa member mpya, naombeni ushirikiano wenu. Click to expand... Karibu sana tupo pamoja #WeAreOne
M mcheshi JF-Expert Member Joined Jan 6, 2011 Posts 823 Reaction score 301 Sep 26, 2013 #4 Karibu sana! Jihadhari na wauzaji na walamba sembe wa humu jamvini! Kazi yao kusifia wizi,ufisadi,rushwa,mauaji,kubabikia watu kesi na mengine malizia mwenyewe!
Karibu sana! Jihadhari na wauzaji na walamba sembe wa humu jamvini! Kazi yao kusifia wizi,ufisadi,rushwa,mauaji,kubabikia watu kesi na mengine malizia mwenyewe!
Globu JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 8,659 Reaction score 2,227 Sep 26, 2013 #5 Karibu JF.
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Sep 27, 2013 #6 Karibu sana jamvini.
xir jyerphy JF-Expert Member Joined Jul 12, 2013 Posts 994 Reaction score 184 Sep 27, 2013 #7 Karibu jf
Landcruiser JF-Expert Member Joined May 27, 2013 Posts 1,805 Reaction score 599 Sep 28, 2013 #8 welcome
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Sep 29, 2013 #9 Karibu sana JF mkuu...........
SHIEKA JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 8,240 Reaction score 4,265 Sep 29, 2013 #10 Bonsoiree said: Nimekuwa member mpya, naombeni ushirikiano wenu. Click to expand... Kamba bado iko miguuni au umeiondoa? Karibu. Hakikisha unajua sheria zote za JF na kama ulishawahi kuwa mwanachama wa fb, mambo ya fb huku hatuyataki!
Bonsoiree said: Nimekuwa member mpya, naombeni ushirikiano wenu. Click to expand... Kamba bado iko miguuni au umeiondoa? Karibu. Hakikisha unajua sheria zote za JF na kama ulishawahi kuwa mwanachama wa fb, mambo ya fb huku hatuyataki!
paparazzi JF-Expert Member Joined Sep 28, 2013 Posts 572 Reaction score 145 Sep 30, 2013 #11 Karibu ndugu