inauma sana ndugu zangu, laiti kama igekua wewe ni mzazi au mwanafunzi mmojawapo kati yao, ndio ungeona nchi hii inavyoendeshwa kidkteta, wamejaza usalama wa taifa na FFU kibao huku chuo kiasi ambacho hata kuongelea hilo jambo inakua ngumu. Ila naamini kama ALSHABAAB alivyosema "KAMA IPO, IPO TUU" kuna haja ya kutafuta namna nyingine ya kuwasaidia wenzetu ikiwezekana wakishtaki chuo kwa maana kupata elimu ni haki ya msingi ya kila mtanzania, iweje leo wakatazwe kujiunga na chuo chochote cha umma Tanzania?