Wasanii ambao wapenzi wao hawajulikani

Nadhani majibu kapata hila hiyo ally rehmtulah hakuna haja kuambiwa chochote muonekano wake tu utajua kama jamaa.......................

Ile keki yake tu ya birthday na jinsi alivyoionja ilizua gumzo sana.
 
Mie cjawah sikia wala muona dem wa Prof Jay,jaman mwenye info juu ya huyu jamaaa aziweke hapa


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨

Tangu aachane na Rashida Wanjara enzi zile siidhani kama alionyesha tena maisha yake binafsi hadharani ila naye ana mtoto mkubwa tu wa kike aitwaye Lisa.
 
Mwasiti nae sijamsikia ngololo wake, ivi ana mtu kweli yule? Maana mmh

Mmh kuna sehemu nilisoma udaku kuwa Mwasiti anatoka na Sam Misago, so sina uhakika sana

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mmh kuna sehemu nilisoma udaku kuwa Mwasiti anatoka na Sam Misago, so sina uhakika sana

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Hyo nilisikia binam ila mzigo anakula mh nyepes nasikia kamnunulia ndiga ya maana na kashatambulishwa kwao kigoma, diva na mwasit haziivi ndo maana aliiponda nyimbo mpya ya mwasiti
 
adamu mchomvu mbona demu wake anajulikana?? aisha mpaka nyimbo kaimbiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…