lazima ukae
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 791
- 414
Heshima kwenu wakubwa kwa wadogo,
Tangu mbunge wa mbeya mjini muheshimiwa sugu alipoonyesha nia ya dhati ya kugombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA na kufanikiwa kupata kiti hicho mwaka 2010,kumekuwepo na wimbi la wasanii wa bongo movie ambao nao wameonyesha nia kugombea ubunge katika uchaguzi ujao.
Baadhi ya wasanii hao ni Jb,Dude na shilole ambae nae ameonyesha nia ya kugombea ubunge wa jimbo la igunga mwaka 2015.Kitu ambacho nimekua nikijiuliza ni kwamba je wasanii hawa na wengine ambao watajitokeza wana nia ya dhati ya kuwawakilisha wananchi bungeni ili kutatua shida zao kama maji,umeme,elimu na huduma za afya au wanataka tu kugombea ubunge kwaajiri ya maslahi yao binafsi ?
Nasema hivyo kwasababu tumeona wagombea wengi sana kipindi cha uchaguzi wakija majimboni kwetu kuomba kura na kuorodhesha vitu watakavyovifanya pindi watakapopewa ridhaa ya kutuwakilisha bungeni ambapo mara baada ya kupata ubunge hawaonekani tena majimboni mpaka uchaguzi unapokaribia ndipo wanapoleta sura zao huku wakiona aibu baada ya kushindwa kutekeleza mambo waliyohaidi kwa wananchi
Je wasanii wetu wa bongo movie wataweza kutatua kero za wananchi au nao ndo walewale ?
Karibuni wadau tuweze kubadirishana mawazo.
Tangu mbunge wa mbeya mjini muheshimiwa sugu alipoonyesha nia ya dhati ya kugombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA na kufanikiwa kupata kiti hicho mwaka 2010,kumekuwepo na wimbi la wasanii wa bongo movie ambao nao wameonyesha nia kugombea ubunge katika uchaguzi ujao.
Baadhi ya wasanii hao ni Jb,Dude na shilole ambae nae ameonyesha nia ya kugombea ubunge wa jimbo la igunga mwaka 2015.Kitu ambacho nimekua nikijiuliza ni kwamba je wasanii hawa na wengine ambao watajitokeza wana nia ya dhati ya kuwawakilisha wananchi bungeni ili kutatua shida zao kama maji,umeme,elimu na huduma za afya au wanataka tu kugombea ubunge kwaajiri ya maslahi yao binafsi ?
Nasema hivyo kwasababu tumeona wagombea wengi sana kipindi cha uchaguzi wakija majimboni kwetu kuomba kura na kuorodhesha vitu watakavyovifanya pindi watakapopewa ridhaa ya kutuwakilisha bungeni ambapo mara baada ya kupata ubunge hawaonekani tena majimboni mpaka uchaguzi unapokaribia ndipo wanapoleta sura zao huku wakiona aibu baada ya kushindwa kutekeleza mambo waliyohaidi kwa wananchi
Je wasanii wetu wa bongo movie wataweza kutatua kero za wananchi au nao ndo walewale ?
Karibuni wadau tuweze kubadirishana mawazo.