hivi huyo msanii unayetaka aje jf unamtakia mema? hivi unadhani hawachugulii? unadhani hawaifahamu jf na watu wa jf? hakika msanii hawezi kuja hapa.
wanajibu kupitia Shigongo media,hapa ni kina kirefu.....kwa kifupi Mastaa wa Bongo na Jf ni sawa na Kumpa Abbott mtoto wa Kindergarten asolve.
hivi huyo msanii unayetaka aje jf unamtakia mema? hivi unadhani hawachugulii? unadhani hawaifahamu jf na watu wa jf? hakika msanii hawezi kuja hapa.
kumpiga BAN Matola ni sawa na kumfunika Nyuki kwa Tenga...atatoka tu
Am here my dear Beautiful onyenye......kuna yule msanii wa bongo movies alijoin
hum sijui kapotelea wapi siku hizi......
maana una siku walimshambulia lol
btn Matola akitoka kifungoni atakushukuru sana,
kisa cha kupigwa BAN ni nini!!!!!!
Kamanda Jenerali Gang Chomba, sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.kumpiga BAN Matola ni sawa na kumfunika Nyuki kwa Tenga...atatoka tu
Am here my dear Beautiful onyenye......
Kumpiga chura teke ni kumuongezea speed!
Wajinga wajinga wengi humu wanapenda kuprovoke watu, lakini tutakwenda nao tu hivyo hivyo.Im glad umerudi
Nilikasirikaje kuona uko hewani mara ukawa umepewa BAN......
Kamanda Jenerali Gang Chomba, sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
Kuna series inaitwa IRIS si kawaida niliangalia season 1 na season 2, sasa zimetoka season 3 na season 4 ndiyo ya mwisho, mapumziko yangu weekend hii nitatumia muda mwingi kuziangalia ili nizimalize, nakushauri upate nakala zako, hii series hata Prison Break ni cha mtoto kabisa.
Hakikisha unapata season zote 4, utashangaa kwamba Hollywood kumbe ni jina tu mziki wa South Korea ni funga kazi.