Hata uwe na malezi mazuri kiasi gani ukweli utabaki sanaa na wasanii wana influence kubwa kwa vijana...watu kutwa wako IG wanafuatilia maisha ya hawa watu....
Huko kwa wenzetu kuna watoto mpaka wanaua kwa sababu ya kufuatilia fictions za mitandaoni...
Nakubali kuwa ni ngumu ku controll; ila nasikitika kuwa watoto wa digitally hawawezi kuwa controlled na malezi ya wazazi peke yake....Hapa ukute kuna mabinti ma elfu wanataka wakikuwa wafuate nyayo za Wema (sina hakika kama ni nzuri au mbaya maana si mfuatiliaji; si wa umri wangu) sasa kama si role modal mzuri wameingia chaka...
Na kwa kuwa wanatumia TV na other mass media Waziri hajakosea; kuwataja Bungeni nadhani ni ili na wengine wa mfano huo wasikie...
Nakumbuka HG wangu alikuwa ananambia ambitions zake na anavyotaka kuwa kama hawa wsanii...nikamwambia hao wako fake; usidhani usanii unalipa hivyo Bongo wana vyanzo vingine vya mapato...akanambia bora dada umenielimisha; yani nilikuwa nawa admire sana...