Wasanii hii sasa imekuwa too much. Muimbe basi na upande wa pili

Bongo muvi mi nawapenda hawa jamaa!!hasa mabinti wao wana misambwanda ya haja!!ningekua Raisi ningewatafuna sana hadi huko kwa mpemba!!sio kwa manundu hayo wananikosha sana!!!Namwambia Baby inama basi !kwa kasi ya 4g nazamisha rungu!!!!salaaaleh!!!
 
Bongo muvi mi nawapenda hawa jamaa!!hasa mabinti wao wana misambwanda ya haja!!ningekua Raisi ningewatafuna sana hadi huko kwa mpemba!!sio kwa manundu hayo wananikosha sana!!!Namwambia Baby inama basi !kwa kasi ya 4g nazamisha rungu!!!!salaaaleh!!!
Duu🤪 na hii ndo Tanzania ya viwanda🙉
 
Upande wa pili hauna "vuto". Wamebaki washabiki mitandaoni. Huku mtaani kila mtu CCM
Hili hawa ndugu zetu hawataki kuliskia....wamebaki mitandaoni na kujifanya ndiyo wenye akili kiwazidi waliopo upande wa pili.
 
Huko kwingine kuna kitu gani cha kuimbia? Hao CDM chama kimejaza wahuni watupu, walikuwa na watu wenye akili lakini miaka mitano hii wote wameondoka. Wamebaki hao akina Mbowe, Lema, Mdee, Sugu na watu wa namna hiyo
Ila wana akili kuliko PhD fake
 
Biashara hainaga kuoneana aibu wala huruma, usidhani pale ni mapenzi ila pale kila mtu anajaribu kutengeneza connection na mamlaka ili wapate fursa
 
Ilibidi najiuliza hakuna msanii anaesifia harakati za upande wa pili ?Hii nchi unaweza ona CCM is there to rule for a vere vere longtemps.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…