Wasanii kizazi kipya hawana misingi ya heshima?

Wasanii kizazi kipya hawana misingi ya heshima?

MTAZAMO

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
19,675
Reaction score
33,583
Wakuu,

Naona trend ya matukio makubwa ya muziki ya wasanii wengi wanaofanya vizuri zama hizi hasa wanapozindua albums zao wanafanikiwa kufanya matukio makubwa lakini weakness kubwa ni wengi kutoalika watu waliobeba tasnia ya muziki miaka mingi kufika ilipo.

Kama hata hao waandaaji hawaoni umuhimu wa kushauri hawa wasanii waalike legends maana yake wanajitambua na ku appreciate watu waliofanikiwa kuupigania muziki kipindi ukiwa haukubaliki sana?

Unafanyaje tukio kubwa la muziki kwa haka ka industry ketu kadogo humualiki mmoja wapo wa legends kama Juma Nature, P Funk, Boniluv, John Dilinga, Master J, Jay Mo, Steve B, Zay B, Taji Liundi na kuendelea? Walau hata a little surprise ya legends ambao ni kama wanasahaulika!

Hivi mtu kama Dj Steve B ambaye anajiuguza muda mrefu katika zile list zenu za invited ukimuweka unapoteza nini? Hili game liliwekwa kwenye mabega na uvumilivu mkubwa msione leo mna enjoy vitu from no where!

Why mialiko isichungulie few sects kama Djs , producers, wasanii, dancers etc wa kitambo walau ku appreciate? Kama tusipojenga utamaduni wa kuwapa heshima waliotangulia tutaheshimu vipi future yetu?

Unaonaje a little surprise from Solo Thang? Au Daz Nundaz waibuke wote wapige surprise ya nyimbo moja? Why akili zenu ni watu wanao trend tuuuuu? Gigy money and alike? Sawa waitwe ila walio nyuma ya hizi events fikirieni zaidi.

Hatujifunzi US wanavyoheshimu legends wao bila unafiki? Every big events utaona kuna icons wanaalikwa kwa heshima tu! Hebu watu wa burudani badilikeni kidogo [emoji34]



Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Mtu anaona akiandika kwa heshima kumualika Ferooz ni nothing! Why? Hata legends ikitokea akaalikwa ni wale ambao bado wana connection! Jose Mtambo ni waste hata kumu invite only kwenye insta page [emoji55]

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu,

Naona trend ya matukio makubwa ya muziki ya wasanii wengi wanaofanya vizuri zama hizi hasa wanapozindua albums zao wanafanikiwa kufanya matukio makubwa lakini weakness kubwa ni wengi kutoalika watu waliobeba tasnia ya muziki miaka mingi kufika ilipo.

Kama hata hao waandaaji hawaoni umuhimu wa kushauri hawa wasanii waalike legends maana yake wanajitambua na ku appreciate watu waliofanikiwa kuupigania muziki kipindi ukiwa haukubaliki sana?

Unafanyaje tukio kubwa la muziki kwa haka ka industry ketu kadogo humualiki mmoja wapo wa legends kama Juma Nature, P Funk, Boniluv, John Dilinga, Master J, Jay Mo, Steve B, Zay B na kuendelea? Walau hata a little surprise ya legends ambao ni kama wanasahaulika!

Hivi mtu kama Dj Steve B ambaye anajiuguza muda mrefu katika zile list zenu za invited ukimuweka unapoteza nini? Hili game liliwekwa kwenye mabega na uvumilivu mkubwa msione leo mna enjoy vitu from no where!

Why mialiko isichungulie few sects kama Djs , producers, wasanii, dancers etc wa kitambo walau ku appreciate? Kama tusipojenga utamaduni wa kuwapa heshima waliotangulia tutaheshimu vipi future yetu?

Unaonaje a little surprise from Solo Thang? Au Daz Nundaz waibuke wote wapige surprise ya nyimbo moja? Why akili zenu ni watu wanao trend tuuuuu? Gigy money and alike? Sawa waitwe ila walio nyuma ya hizi events fikirieni zaidi.

Hatujifunzi US wanavyoheshimu legends wao bila unafiki? Every big events utaona kuna icons wanaalikwa kwa heshima tu! Hebu watu wa burudani badilikeni kidogo [emoji34]



Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Dj steve B anaugua nini?
Siku hizi hayupo clouds?
 
As a Music producer, nimekaa na nimekutana na artists kibao but ni wachache sana wanaijitambua. Wengi Ni wabinafsi, wanauwezo hata wa kukana production ulofanya, wakasema wamefanya kwa producer fulani mkubwa. I know them! So sitarajii kuona hayo, labda wabadilike!
 
As a Music producer, nimekaa na nimekutana na artists kibao but ni wachache sana wanaijitambua. Wengi Ni wabinafsi, wanauwezo hata wa kukana production ulofanya, wakasema wamefanya kwa producer fulani mkubwa. I know them! So sitarajii kuona hayo, labda wabadilike!
Inabidi tubadilike sana, waliotangulia wapewe heshima wanazostahili. Wengine tumeishi hizo era tunajua mapito yao! Usipoheshimu hao ni kama laana na wewe hutosheshimiwa!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom