ni kweli hata kwa watu wa kawaida kuna la kujifunza ila wasanii mara zote wakiumwa ni watu wa kuchangiwa hawajifunzi kwa wenzao hicho kidogo wanacchopata kukata bima ya afya nhif unaweza pata hata million moja kwa mwakaJe na sis rai wa kawaida ni wangapi ambao tumejitahidi hata angalau kuwekeza katika maisha yetu? Maana isije tukawa tunajidai kuwananga wasanii wakati sis wenyewe kumbe ndo walewale, BIMA ya afya tu tukiambizana kukata inakuwa vita
Ni kweli mkuu ila wasanii hao hao ndo wametoka katika jamii zetu hizi kwa hiyo njia pekee kwa sasa ni kujifunza kutokana na makosani kweli hata kwa watu wa kawaida kuna la kujifunza ila wasanii mara zote wakiumwa ni watu wa kuchangiwa hawajifunzi kwa wenzao hicho kidogo wanacchopata kukata bima ya afya nhif unaweza pata hata million moja kwa mwaka
Gharama za matibabu haziwasumbui tu wasanii peke yao...
Hata watu wenye kazi zao na wanapokea mishahara kila mwisho wa mwezi, swala la matibabu ni mtihani sana...
Cc: mahondaw
Huko India imekuwa recommended na Dr kuwa aende au wameamua tu Kwa vile ni msanii?Mimi nina maoni tofauti kidogo..Mimi nadhani gharama za kwenda kutibiwa india ni kubwa sana labda kufanya wasanii kushindwa kumudu sijui lakini?
Swala= sualaGharama za matibabu haziwasumbui tu wasanii peke yao...
Hata watu wenye kazi zao na wanapokea mishahara kila mwisho wa mwezi, swala la matibabu ni mtihani sana...
Cc: mahondaw