Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
haiwezekani??Diamond Worth 7m USD? Are you serious au unatania? Hivi unajua 1m USD ni sawa na 2.2B Tsh? Kwahiyo unatka kuniambia Diamond ana mzigo wa 15B Tsh? Unajua B Tsh ilivyo?
Tunaposema net worth hatumaanishi only cash iliyopo benki bali thamani ya mali anazomiliki pamoja na cash iliyopo benki..kwa ninavyojua mimi ngoja wajuvi wajeDiamond Worth 7m USD? Are you serious au unatania? Hivi unajua 1m USD ni sawa na 2.2B Tsh? Kwahiyo unatka kuniambia Diamond ana mzigo wa 15B Tsh? Unajua B Tsh ilivyo?
Kwahiyo hutaki au ?Diamond Worth 7m USD? Are you serious au unatania? Hivi unajua 1m USD ni sawa na 2.2B Tsh? Kwahiyo unatka kuniambia Diamond ana mzigo wa 15B Tsh? Unajua B Tsh ilivyo?
Mbona ni pesa ya kawaida tu hiyo kwa diamond tena naona ni ndogoDiamond Worth 7m USD? Are you serious au unatania? Hivi unajua 1m USD ni sawa na 2.2B Tsh? Kwahiyo unatka kuniambia Diamond ana mzigo wa 15B Tsh? Unajua B Tsh ilivyo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] net worth means sio pesa aliyonayo bank ila ni jumla ya thamani za Pesa na Mali anazomiliki...!! INAWEZA fika labda hizo bil 15 maana jamaa pesaa anazo aiseeMbona ni pesa ya kawaida tu hiyo kwa diamond tena naona ni ndogo
Diamond Worth 7m USD? Are you serious au unatania? Hivi unajua 1m USD ni sawa na 2.2B Tsh? Kwahiyo unatka kuniambia Diamond ana mzigo wa 15B Tsh? Unajua B Tsh ilivyo?
ila kweli ukijumlisha ile crew nzima ya watu pale wcb magari na kila kitu jamaa utajiri ana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] net worth means sio pesa aliyonayo bank ila ni jumla ya thamani za Pesa na Mali anazomiliki...!! INAWEZA fika labda hizo bil 15 maana jamaa pesaa anazo aisee
Vipi wewe networth yako mjomba [emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] net worth means sio pesa aliyonayo bank ila ni jumla ya thamani za Pesa na Mali anazomiliki...!! INAWEZA fika labda hizo bil 15 maana jamaa pesaa anazo aisee
Vijana wapenda vitonga wanawekeza kwenye kumiliki iPhone.Vipi wewe networth yako mjomba [emoji28][emoji28]
Vijana tukomae [emoji41]
Me yangu ni nguo nilizovaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui kama hata 20k inafikaaVipi wewe networth yako mjomba [emoji28][emoji28]
Vijana tukomae [emoji41]
Hahaha acha hizo chief unanchora tu hapa mr rikiboyMe yangu ni nguo nilizovaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui kama hata 20k inafikaa
Inawezekana mkuu.Diamond Worth 7m USD? Are you serious au unatania? Hivi unajua 1m USD ni sawa na 2.2B Tsh? Kwahiyo unatka kuniambia Diamond ana mzigo wa 15B Tsh? Unajua B Tsh ilivyo?