Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
- Thread starter
-
- #21
Diamond Worth 7m USD? Are you serious au unatania? Hivi unajua 1m USD ni sawa na 2.2B Tsh? Kwahiyo unatka kuniambia Diamond ana mzigo wa 15B Tsh? Unajua B Tsh ilivyo?
Hawezi kua na hiyo pesa..watu si wanajiongeleshaga tuDiamond Worth 7m USD? Are you serious au unatania? Hivi unajua 1m USD ni sawa na 2.2B Tsh? Kwahiyo unatka kuniambia Diamond ana mzigo wa 15B Tsh? Unajua B Tsh ilivyo?
Hiyo list haiwezi kukamilika bila kuwajumuisha Psquare kwa ukwasi walio nao.
Wana combined networth ya zaidi ya usd milioni 150. Hata kama wakigawana bado ni wasanii wachache sana Africa wanaoweza kufikia hizo figure.Ni watu waliotengana miaka ya hivi karibuni mpaka sasa kuna utata juu ya ugawanyaji wa mali walizochuma, Hivyo ni ngumu kutambua kiasi cha mali anazomiliki kila mmoja.
Ndio haiwezekani.. ww tupe bank statements pamoja na assets anazozimiliki ikiwa sambamba na mikataba ya kibiashara..haiwezekani??
mimi ndo nnaemtunzia mpaka nikupe??Ndio haiwezekani.. ww tupe bank statements pamoja na assets anazozimiliki ikiwa sambamba na mikataba ya kibiashara..
We zwazwa eeh sasa unasemaje ana utajiri huo ingali hujui?mimi ndo nnaemtunzia mpaka nikupe??
wewe unaemtuzia na unajua kila kitu chake that's why unapinga ndo utupe sababu unajua mali zake zote.
no offence, no more replies.
Acha,hizo Man kwahyo wamempita hadi Akon au?Wana combined networth ya zaidi ya usd milioni 150. Hata kama wakigawana bado ni wasanii wachache sana Africa wanaoweza kufikia hizo figure.
nenda ukanionyeshe sehemu niliyosema Diamond ana utajiri huo.We zwazwa eeh sasa unasemaje ana utajiri huo ingali hujui?
Diamond Worth 7m USD? Are you serious au unatania? Hivi unajua 1m USD ni sawa na 2.2B Tsh? Kwahiyo unatka kuniambia Diamond ana mzigo wa 15B Tsh? Unajua B Tsh ilivyo?
Unajua maana ya networth??Diamond Worth 7m USD? Are you serious au unatania? Hivi unajua 1m USD ni sawa na 2.2B Tsh? Kwahiyo unatka kuniambia Diamond ana mzigo wa 15B Tsh? Unajua B Tsh ilivyo?
Wakisema thamani yake ni 7m $ haimaanishi ni pesa alizonazoDiamond Worth 7m USD? Are you serious au unatania? Hivi unajua 1m USD ni sawa na 2.2B Tsh? Kwahiyo unatka kuniambia Diamond ana mzigo wa 15B Tsh? Unajua B Tsh ilivyo?
4. stiv nyenyere
5. Wema
6. JB
7.Ilene uoya
8. Dogo Jinga