Greetings wakuu!
Nimesikitishwa sana na kauli ya bwana ROMA MKATOLIKI kwamba ameshindwa kumpeleka mwanaye shule kwa kukosa karo kutokana na 'kufungiwa' kwa miezi 6 kutojihusisha na sanaa na BASATA
Inawezekana ameongea kutafuta 'public sympathy' na ndo maana akamchkua mtoto wake kwenda naye kwenye interview radio, kama ndivyo amefanya makosa sana (Bila kujali sababu za kufungiwa kwake)
Pointi ya msingi yeye pamoja na wasanii wenzie wanifunze kujiwekea akiba kwa maisha yao ya baadae, kulalamika kwamba umekosa karo ni Aibu sana kwa msanii kama yeye ambaye records zinaonyesha tangu 'ametoka' hajawahi kukaa kijiweni, Wasanii wetu wanahitaji msaada mkubwa sana kinawazo jinsi ya kukuza pato lao wanalopata liweze kuwa msaada baadaye.
Sote tu mashahidi wako wasanii wengi waliokuwepo kipindi cha nyuma na walipata pesa nyingi ila leo wako 'vijiweni' na wanahangaika sana kujaribu 'kutoka' tena lakini inashindikana matokeo yake wanaishia kwenye mihadarati sababu ya 'frustrations' na mwishowe huwa mbaya (mifano ipo).
Hii iwe kama 'woke up call' kwa wasanii wetu kwamba kidogo wanacho kipata leo kesho hakitakuwepo na wakitumie vizuri kuwekeza sio kufanyia starehe zisizo na faida yoyote!
Kiroho safi, Asante!
Nimesikitishwa sana na kauli ya bwana ROMA MKATOLIKI kwamba ameshindwa kumpeleka mwanaye shule kwa kukosa karo kutokana na 'kufungiwa' kwa miezi 6 kutojihusisha na sanaa na BASATA
Inawezekana ameongea kutafuta 'public sympathy' na ndo maana akamchkua mtoto wake kwenda naye kwenye interview radio, kama ndivyo amefanya makosa sana (Bila kujali sababu za kufungiwa kwake)
Pointi ya msingi yeye pamoja na wasanii wenzie wanifunze kujiwekea akiba kwa maisha yao ya baadae, kulalamika kwamba umekosa karo ni Aibu sana kwa msanii kama yeye ambaye records zinaonyesha tangu 'ametoka' hajawahi kukaa kijiweni, Wasanii wetu wanahitaji msaada mkubwa sana kinawazo jinsi ya kukuza pato lao wanalopata liweze kuwa msaada baadaye.
Sote tu mashahidi wako wasanii wengi waliokuwepo kipindi cha nyuma na walipata pesa nyingi ila leo wako 'vijiweni' na wanahangaika sana kujaribu 'kutoka' tena lakini inashindikana matokeo yake wanaishia kwenye mihadarati sababu ya 'frustrations' na mwishowe huwa mbaya (mifano ipo).
Hii iwe kama 'woke up call' kwa wasanii wetu kwamba kidogo wanacho kipata leo kesho hakitakuwepo na wakitumie vizuri kuwekeza sio kufanyia starehe zisizo na faida yoyote!
Kiroho safi, Asante!