Wasanii mnajua uchawa tu na kuhongwa mpitishe ajenda za kipuuzi, kupiga kura aaah!

Wasanii mnajua uchawa tu na kuhongwa mpitishe ajenda za kipuuzi, kupiga kura aaah!

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Mpaka sasa nimeona msanii mmoja tu ndio ampost akipiga kura, Ali Kiba, wengine nyiiiii!

Mnajua kulamba nyayo tu na kula hela kupitisha ajenda za kipuuzi linakuja jambo la maana huoni mtu, waleeee wanakula kona.

Au sababu kwenye kupiga kura hamna kujishaua shaua? Useless kabisa.

Halafu mkikwama ndio mnakumbuka wananchi, hawa hawa mnaotumia juhudi na kuuza utu wenu kuwaangamiza. Ifike wakati watanzania tususie tu kazi zenu mpaka kieleweke.
 
Inategemea na anampigia nani, kama nae ni ccm si ni bora hata hao wasiopiga kura, Maana nae atakuwa anabariki watesi, wezi, watekaji na machawa.
 
Wakuu,

Mpaka sasa nimeona msanii mmoja tu ndio ampost akipiga kura, Ali Kiba, wengine nyiiiii!

Mnajua kulamba nyayo tu na kula hela kupitisha ajenda za kipuuzi linakuja jambo la maana huoni mtu, waleeee wanakula kona.

Au sababu kwenye kupiga kura hamna kujishaua shaua? Useless kabisa.

Halafu mkikwama ndio mnakumbuka wananchi, hawa hawa mnaotumia juhudi na kuuza utu wenu kuwaangamiza. Ifike wakati watanzania tususie tu kazi zenu mpaka kieleweke.
Wasanii wa kweli nchi hii wanahesabika, the rest ni puppets
 
Kufuwatualia wasanii nchi na kuwapa airtime ni kujishushia heshima tu
Tz wasanii,machawa ni tktk tu

Ova
 
Back
Top Bottom