Wasanii na wanasiasa wanafanana kwa uongo 80% na ukweli 20%

Wasanii na wanasiasa wanafanana kwa uongo 80% na ukweli 20%

amakyasya

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
3,480
Reaction score
914
Steve Mangere, maarufu kama Steve Nyerere katika kipindi cha wasanii na siasa cha StarTv jioni hii amesema wasanii na wanasiasa ni walewale maana wote wanaongea uongo 80% na ukweli 20%.

Pia wasanii wanafikishia ujumbe kwa audience kama wanavyofanya wanasiasa.

Una maoni gani kwa kauli ya msanii huyu?
 
Katika kipindi cha
Wasanii na Siasa cha StarTv jioni hii amesema wasanii na wanasiasa ni
walewale watu maana wote wanaongea uongo 80% na ukweli 20% pia wasanii
wanafikishia ujumbe audience kama wanavyofanya wanasiasa.
Una maoni gani kwa kauli ya msanii huyu?

Kama anamzungumzia promota wa Dimond (KJ) nakubaliana nae.
 
hawa ni wachumia tumbo tu,wanaosema wenyewe kuwa wapo kimaslahi zaidi,wanakiri kukimbilia ccm kusaka fursa tu na kuchumia matumbo yao.
 
steven kasema kweli .na mtu yeyote wa siasa si ccm si chagga dev.a.k.a chadema cuf ni wale wale uongo 80%
 
hawa ni wachumia tumbo tu,wanaosema wenyewe kuwa wapo kimaslahi zaidi,wanakiri kukimbilia ccm kusaka fursa tu na kuchumia matumbo yao.

Kwani wanasiasa wengi na wafuasi na vibaraka wa vyama wanafuata nini kwenye vyama na siasa???!!!

Kama mngekuwa wakweli mpaka leo watoto wangekaa chini na shuke kukosa mashimo ya vyoo??!!!!
Huyo ni mwanasiasa mwenzenu na ni msanii anajua kote na ndio kawaelezeeni mlivyo!!!

Tena bora yeye kaweza sema ukweli kuliko wewe unakataa hata yaliyo wazi kabisa!!!!!
 
Awe ni Mwanasiasa au Msanii Anachoweza kukwambia ukweli

"labda ni jina lake tu" japo Mwigulu Nchemba na Mulugo wanaongopa hata majina yao.
 
Awe ni Mwanasiasa au Msanii Anachoweza kukwambia ukweli

"labda ni jina lake tu" japo Mwigulu Nchemba na Mulugo wanaongopa hata majina yao.

Nimeipenda sana hii.. hivi Mulugo yuko wap?
 
Hao Wasanii hata Maisha yao asilimia 80 ni usanii na 20% ndiyo maisha yao halisi.
 
saikolojikale kusema uongo ni kazi rahisi sana na hautumii nguvu na akili nyingi bt kusema ukweli lazima utumie nguvu na hii inasababishwa na ss binadamu .mfano alicho kisema mpoki akiwe mc kwenye tuzo za kil watu walimwona hafai hii ni kwa sababu watanzania wengi tumezoea kuishi kwa unafiki.so alicho kisema ni kweli kabisaaa.
 
ila hawa wasanii kwa kuongeza cfuri ni hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii huko kwenu vip?
 
Back
Top Bottom