bartenderznz
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 398
- 195
Msanii fulani ana bifu na fulani, fulani anasema hana bifu na fulani.Huyu anavunja ukimya na yule, huyu kampa makavu yule, mwengine nyimbo zake mbili mfululizo zimefungiwa kwa kukosa maadili.Hizo ndizo habari ambazo kila siku zinatawala kuhusu wasanii wetu hapa Tanzania. Halafu muniambie eti msanii ni kioo cha jamii, labda kuzimu, kwangu mimi hapana.