crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Wasanii wawili waliokimbia label ya king's music ya Alikiba, Cheed na Killy hatimaye wametambulishwa rasmi katika label ya Kondegang ya Harmonize.
Kwa sasa label hiyo ina jumla ya wasanii 5 tangu kuanzishwa kwake ikiwa ni chini ya mwaka mmoja tu pia inasimamia kazi za msanii skales kutoka nchini Nigeria katika Afrika Mashariki.
Awali msanii Q Chila aliwahi kuhusishwa na label hiyo lakini karibuni alifunguka na kusema hakusaini Kondegang kwa sababu Harmonize hawezi kumlipa.
Kwa sasa label hiyo ina jumla ya wasanii 5 tangu kuanzishwa kwake ikiwa ni chini ya mwaka mmoja tu pia inasimamia kazi za msanii skales kutoka nchini Nigeria katika Afrika Mashariki.
Awali msanii Q Chila aliwahi kuhusishwa na label hiyo lakini karibuni alifunguka na kusema hakusaini Kondegang kwa sababu Harmonize hawezi kumlipa.