crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Ibrah hujui anapoelekea unataka aelekee wapi labda ?Asksr,
Huyu Harmonize naona hajui pa kushika ni wapi, alianza na Qchief hamukmfikisha kokote (Qchilla naye anageuza maneno kuna siku anahojiwa na Babu wa kitaa alisema kuna watu walimfitinisha Harmonize akasepa pasipo hata kumwambia sababu leo anasema hakuwa na uwezo wa kumlipa), akaja na Ibra naye sioni anakoelekea, mara kamsaini yule Mnaija naye hajafika kokote, sasa kawasign hawa madogo. Personally hawa madogo naona hata vipaji hawana walikuwa wanatembelea nyota ya Alikiba tu.
Ila muda utasema maana yeye mwenyewe Konde Boy naona siku baada ya siku kimziki anazidi kushuka, Konde wa sasa si kama konde wa kipindi yuko WCB baada ya miaka miwili sijui atakuwa wapi Mr. Konde.
Mafanikio ya kimziki hayajifichi, mtu akifanya poa anaonekana wazi kafanya poa. Time will tell....Ibrah hujui anapoelekea unataka aelekee wapi labda ?
kwahiyo unampangia MTU mipango yake?
Kuwa amsaini nani si ndio?
Halafu skales hajafika popote hivi unamjua vizuri ama?
Skales ni msanii mkubwa tayari mpka huku tulimfahamu kabla ya hata kusign na konde gang.
MTU kama wewe hujawahi hata kuwepo hujawahi hata kuwepo kwenye industry ya mziki halafu unajifanya bingwa wa kutabiri maanguko ya watu
Harmonize akipotea wewe unafaidika nini?
Sasa hata mwaka haijamaliza unataka mafanikio ya namna gani.Mafanikio ya kimziki hayajifichi, mtu akifanya poa anaonekana wazi kafanya poa. Time will tell....
Utaona mfano Zuchu anafanya poa, huwezi mcompare na Ibra achilia mbali kumlinganisha na Zuchu Ibra hafanyi poa huwezi kucompare hata kipinfi wakina Mario wanatoka.Sasa hata mwaka haijamaliza unataka mafanikio ya namna gani.
Kila kitu kilianza chini hata wcb walianza na msanii mmoja huyo huyo harmonize Leo umeona walipo?
Huwezi kufika kumi usipoanza na moja
Hivi wewe namna gani?Utaona mfano Zuchu anafanya poa, huwezi mcompare na Ibra achilia mbali kumlinganisha na Zuchu Ibra hafanyi poa huwezi kucompare hata kipinfi wakina Mario wanatoka.
Any way ngoja tujipe muda.
Ibra hafanyi vizuri in fact trend yake inashuka hata kuliko alipotoka... Konde mwenyewe ngoja tusubiri baada ya mwaka mmoja mbele tuone.Hivi wewe namna gani?
Unapokuwa wcb automatic unakuwa msanii popular. Wana die hard fans wao siku ukiondoka unawaacha pale mfano ni mavoko na harmonize.kama kweli ngoja uone zuchu akitoka wcb kama atapata mashabiki kama hawa wa wcb.
Ukiwa lebel kubwa unapata promo ,hutolei jasho ,mauzo ya kazi zako wanasimamia sasa huoni tofauti ilipo?
Kondegang ni ka lebel kadogo kanachoanza kujitutumua
Nilidhani upo makin kumbe
Haya bwana mtabiri ibrah mwanzo alikuwa wapi lebel gani akae kwa trend katoa wimbo?Ibra hafanyi vizuri in fact trend yake inashuka hata kuliko alipotoka... Konde mwenyewe ngoja tusubiri baada ya mwaka mmoja mbele tuone.
Kuwachukua hao madogo ni kuchukua matatizo
Acha uongo mzee harmonize anafanya vizur Sana nyimbo zake labda Kama una chuki naye tuAsksr,
Huyu Harmonize naona hajui pa kushika ni wapi, alianza na Qchief hamukmfikisha kokote (Qchilla naye anageuza maneno kuna siku anahojiwa na Babu wa kitaa alisema kuna watu walimfitinisha Harmonize akasepa pasipo hata kumwambia sababu leo anasema hakuwa na uwezo wa kumlipa), akaja na Ibra naye sioni anakoelekea, mara kamsaini yule Mnaija naye hajafika kokote, sasa kawasign hawa madogo. Personally hawa madogo naona hata vipaji hawana walikuwa wanatembelea nyota ya Alikiba tu.
Ila muda utasema maana yeye mwenyewe Konde Boy naona siku baada ya siku kimziki anazidi kushuka, Konde wa sasa si kama konde wa kipindi yuko WCB baada ya miaka miwili sijui atakuwa wapi Mr. Konde.
Unapanic this is not personal ni mtazamo wa mashabiki wa mziki huna haja ya kupanic, kunywa glass moja ya maji chill up kidogo usije pata presha kwa vitu vidogo.Haya bwana mtabiri ibrah mwanzo alikuwa wapi lebel gani akae kwa trend katoa wimbo?
Haya tabiri niambie tundu lissu atashinda urais?
Hana hit song kama kipindi kile, ilikuwa ni hit baada ya hit. Sasa hivi kawaida tu bado ana jina la moto na mbwembwe sijui zitamfanya akae kwa muda gani kwenye trend.Acha uongo mzee harmonize anafanya vizur Sana nyimbo zake labda Kama una chuki naye tu
Bila shaka hii comment imeandikwa na kijana aliyemaliza chuo halafu jobless ambae hajui hata siku yake ataimaliza vipi, mara nyingi mnakuaga so bitter kwa vijana wenzenu waliotusua kimaisha halafu hawajasoma,Asksr,
Huyu Harmonize naona hajui pa kushika ni wapi, alianza na Qchief hamukmfikisha kokote (Qchilla naye anageuza maneno kuna siku anahojiwa na Babu wa kitaa alisema kuna watu walimfitinisha Harmonize akasepa pasipo hata kumwambia sababu leo anasema hakuwa na uwezo wa kumlipa), akaja na Ibra naye sioni anakoelekea, mara kamsaini yule Mnaija naye hajafika kokote, sasa kawasign hawa madogo. Personally hawa madogo naona hata vipaji hawana walikuwa wanatembelea nyota ya Alikiba tu.
Ila muda utasema maana yeye mwenyewe Konde Boy naona siku baada ya siku kimziki anazidi kushuka, Konde wa sasa si kama konde wa kipindi yuko WCB baada ya miaka miwili sijui atakuwa wapi Mr. Konde.
Asksr,
Huyu Harmonize naona hajui pa kushika ni wapi, alianza na Qchief hamukmfikisha kokote (Qchilla naye anageuza maneno kuna siku anahojiwa na Babu wa kitaa alisema kuna watu walimfitinisha Harmonize akasepa pasipo hata kumwambia sababu leo anasema hakuwa na uwezo wa kumlipa), akaja na Ibra naye sioni anakoelekea, mara kamsaini yule Mnaija naye hajafika kokote, sasa kawasign hawa madogo. Personally hawa madogo naona hata vipaji hawana walikuwa wanatembelea nyota ya Alikiba tu.
Ila muda utasema maana yeye mwenyewe Konde Boy naona siku baada ya siku kimziki anazidi kushuka, Konde wa sasa si kama konde wa kipindi yuko WCB baada ya miaka miwili sijui atakuwa wapi Mr. Konde.
[/QUOT
Ebangi nyingi ni lazima mtu kukurupuka
Hakunaga maoni ya shabiki maandazi kama weweUnapanic this is not personal ni mtazamo wa mashabiki wa mziki huna haja ya kupanic, kunywa glass moja ya maji chill up kidogo usije pata presha wa vitu vidogo.