You might be right is it a crime?Bila shaka hii comment imeandikwa na kijana aliyemaliza chuo halafu jobless ambae hajui hata siku yake ataimaliza vipi, mara nyingi mnakuaga so bitter kwa vijana wenzenu waliotusua kimaisha halafu hawajasoma,
#No hard feelings tho#
#Panic at your risk#
[emoji38][emoji38]
Mtabiri wa maanguko ya watu huyo yupo kaziniBila shaka hii comment imeandikwa na kijana aliyemaliza chuo halafu jobless ambae hajui hata siku yake ataimaliza vipi, mara nyingi mnakuaga so bitter kwa vijana wenzenu waliotusua kimaisha halafu hawajasoma,
#No hard feelings tho#
#Panic at your risk#
[emoji38][emoji38]
Chill kijana hii inaitwa forum, kunywa maji kijana usipanic. Ni forum ndiyo maana hakuna sehemu ukipost kitu ukamute comments because it is a forum. Usipanic BoyHakunaga maoni ya shabiki maandazi kama wewe
Haya ni maoni au makasiriko ?
Hahahhahh tafuta LA kufanya mkuu hili LA kukandia watu halikufai
Ndiyo maana nimekwambia una chuki naye umefuatilia nyimbo zake , na trend zake kwenye digital platformHana hit song kama kipindi kile, ilikuwa ni hit baada ya hit. Sasa hivi kawaida tu bado ana jina la moto na mbwembwe sijui zitamfanya akae kwa muda gani kwenye trend.
Yes, Hate is a weak emotion, a sign of failure.You might be right is it a crime?
But that does not make a crime. I asked, is it a crime?Yes, Hate is a weak emotion, a sign of failure.
Jamaa una majungu sana weweIbra hafanyi vizuri in fact trend yake inashuka hata kuliko alipotoka... Konde mwenyewe ngoja tusubiri baada ya mwaka mmoja mbele tuone.
Ngoja nimsaidie kutabiri,Tundu Lissu hawezi kushinda 😂😂😂Haya bwana mtabiri ibrah mwanzo alikuwa wapi lebel gani akae kwa trend katoa wimbo?
Haya tabiri niambie tundu lissu atashinda urais?
Kumbe nina chuki basi sawa. That is what makes the world go round.Ndiyo maana nimekwambia una chuki naye umefuatilia nyimbo zake , na trend zake kwenye digital platform
Atawafundisha kushuka na wayaAsksr,
Huyu Harmonize naona hajui pa kushika ni wapi, alianza na Qchief hamukmfikisha kokote (Qchilla naye anageuza maneno kuna siku anahojiwa na Babu wa kitaa alisema kuna watu walimfitinisha Harmonize akasepa pasipo hata kumwambia sababu leo anasema hakuwa na uwezo wa kumlipa), akaja na Ibra naye sioni anakoelekea, mara kamsaini yule Mnaija naye hajafika kokote, sasa kawasign hawa madogo. Personally hawa madogo naona hata vipaji hawana walikuwa wanatembelea nyota ya Alikiba tu.
Ila muda utasema maana yeye mwenyewe Konde Boy naona siku baada ya siku kimziki anazidi kushuka, Konde wa sasa si kama konde wa kipindi yuko WCB baada ya miaka miwili sijui atakuwa wapi Mr. Konde.
Huo ndiyo ukweli kama majungu ni kusema ukweli basi let it be. Ibra trend yake haipandi.Jamaa una majungu sana wewe
Huwa kwa kweli kukasirisha watu kwamba sijui hii ni forum ?Chill kijana hii inaitwa forum, kunywa maji kijana usipanic. Ni forum ndiyo maana hakuna sehemu ukipost kitu ukamute comments because it is a forum. Usipanic Boy
Kwa nini kumsaini a chief ni matatizo?Kumsaini q chief ni kusain matatizo.
Hapo harmo alicheza kama pele
Narudia hii ni forum... Chill hahve a glass of water boy, relax.Huwa kwa kweli kukasirisha watu kwamba sijui hii ni forum ?
Ni kweli ndio lakini kuwa hii ni forum haimaanishi eti ndo ugeuze jamvi la kukandia jitihada na kazi wanazozitolea jasho vijana wenzio .
Nimekunywa maji moka moyo umeelea.
Nilikuwaga boy zamani ..
Hahahhaha relax
Trend haipandi ametoa nyimbo lin?Huo ndiyo ukweli kama majungu ni kusema ukweli basi let it be. Ibra trend yake haipandi.
Ndiyo kupotea huko au we huoni? Relax kijana Boy. Ila naelewa ma Boy wanawaza kama ma boy siyo kosa lako ungekuwa a man ningejua kuna tatizo ila kwakuwa ni Boy utaelewa tu ukiwa a man.Trend haipandi ametoa nyimbo lin?
Jirekebishe kila MTU anakwambia huoni aibu?
Punguza makasiriko my baby
Jamaa alianza kwa yule bosi wake qs muhonda alirudi vizuri kama unakumbuka zile video south Africa na Adam juma.Kwa nini kumsaini a chief ni matatizo?
Rudi kwenye replies zako za mwanzo ndo utajua kuwa hukufaa kujiita man bwana mdogo.Ndiyo kupotea huko au we huoni? Relax kijana Boy. Ila naelewa ma Boy wanawaza kama ma boy siyo kosa lako ungekuwa a man ningejua kuna tatizo ila kwakuwa ni Boy told tu ukiwa a man.
Pale baby anapomfundisha legendNarudia hii ni forum... Chill hahve a glass of water boy, relax.