Kwamba Zuchu anafanyaa poa kuliko huyo Ibraa, are you guys serious ?Utaona mfano Zuchu anafanya poa, huwezi mcompare na Ibra achilia mbali kumlinganisha na Zuchu Ibra hafanyi poa huwezi kucompare hata kipinfi wakina Mario wanatoka.
Any way ngoja tujipe muda.
Lissu kushinda urais hilo liko wazi, yeye ndiye Rais ajaye, piga chini jiweHaya bwana mtabiri ibrah mwanzo alikuwa wapi lebel gani akae kwa trend katoa wimbo?
Haya tabiri niambie tundu lissu atashinda urais?
Yes, inasikika Mwanza.Hivi jembe ni jembe radio bado iko kwa hewa mkuu?
Wewe utakuwa mataga, bisha?Ngoja nimsaidie kutabiri,Tundu Lissu hawezi kushinda [emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha haaaaa, utaua watu wewe humu mitandaoniNgoja nimsaidie kutabiri,Tundu Lissu hawezi kushinda 😂😂😂
Wewe utakuwa king'asti🤔, bisha?Wewe utakuwa mataga, bisha?
😄😄siasa za bongo zinajulikana, nashangaa watu wanahangaika kutabiri.Ha ha haaaaa, utaua watu wewe humu mitandaoni
Kweli mkuu,Yule jamaa 'Ndege' yuko njema sana.Enzi hizo ile beach yake ya Jembe ni jembe ilikua inajaza watu sio mchezo na alipiga pesa fresh sana.Yes, inasikika Mwanza.
Na hao watu ukiangalia wamejipanga. Huyo Jembe ni Jembe ana mpaka tamasha linaitwa Jembeka Festival na huwa wanaleta wasanii wakubwa kama Wizkid.
Huyo Jembe ni Jembe ni hatari yawezekana kuliko Sallam ila ni mtu wa kimya kimya.
Check endorsement za Harmonize ndani ya muda mfupi tu ambazo hata Kiba hajawahi kupata.
So baada muda usishangae Jembe fm na TV zinasikika nchi nzima na tamasha lao Jembekat Festival linaruka mikoa mingi
Vijana bwana, mafanikio ya zuchu ni yapi? Kualikwa shughuli kubwa kwa jina la wasafi?Utaona mfano Zuchu anafanya poa, huwezi mcompare na Ibra achilia mbali kumlinganisha na Zuchu Ibra hafanyi poa huwezi kucompare hata kipinfi wakina Mario wanatoka.
Any way ngoja tujipe muda.
Mimi sisikilizii wasafi yani kabisa wasafi redio sisikilizii, mimi redio ninayoisikilizi ni clouds ikitokea nimesikiliza redio. Wasafi TV uwa ninatazama Refresh na niliwahi kutazama Big Sunday Live I guess mara mbili. Ila hata ukiwa kwenye social networks, promo analopewa Zuchu, nenda subscribers wa Youtube alionao, support anayopata kutoka kwa wasanii kama akina lady Jaydee, Nandy, hiyo big sunday live niliyotazama aliperform na mashabiki jinsi walivyokuwa wanaimba naye, ni mbishi mwenye masters ya ubishi atakayesema Ibra anafanya vizuri kuliko Zuchu.Kwamba Zuchu anafanyaa poa kuliko huyo Ibraa, are you guys serious ?
Ninyi ndio kuanzia asubuhi mpaka usiku mmetune Wasafi fm ambako nyimbo za Zuchu zimekuwa wimbo wa taifa na wasanii wengine nyimbo zao wakiwemo hao Kondegang hazipigwi, basi mnadhani wasanii wengine hakuna.
Kwani ni crime label kumbeba msanii jina lake likapaa. Inabidi kumbeaba msanii jina liwe kubwa ndo utengeneze pesa. Na hilo wamefanikiwa. Hata promota akitaka kumchukua Zuchu kwa sasa lazima atakuwa ashajitengenezea picha kuwa atalipa pesa ya maana kutokana na branding na promo aliyofanyiwa.Vijana bwana, mafanikio ya zuchu ni yapi? Kualikwa shughuli kubwa kwa jina la wasafi?
Kuwa maarufu ndani ya mwezi kwa jina la wasafi?
Sina ushabiki, mimi ni legendari kidogo kwenu, wakati wetu tulitazama talents, siku hizi mnatazama umaarufu na viewers
Jembe ni jembe hajui lolote mnampamba tuuu, alishafelisha program kibao before, Yes amefanikisha kumpigia chapuo kondeboy dili la sayona na CRDB nothing else, kaanzisha jembe ni jembe club , beach resort na jembe redio kule mwanza , zimeshine dk mbili now zipo ICU , akaanzisha jembeka festival kapiga mwaka mmoja tu wa pili chalii, Diamond kamchomolea show kibao jamaa akafura kwa hasira akaamua kumshawishi kondeboy na amemchukua harmonize akiwa hot cake na akiwa ni matokeo ya bitter struggle ya Diamond Platnumz ,....Mkuu na wewe fanya, mwenzio anafanyaa wewe unaongea
Hata akifeli ni uthibitishi kuwa ALIFANYA.
.
Hakuna kitu kigumu duniani kama execution. Hizi porojo za maneno, idea na ushauri kila mwenye pumzi anaweza kuwa nao.
Ni wapiga porojo tu ambao hawajawahi kufanya jambo lolote jipya ndio hawajawahi KUSHINDWA.
Halafu hao Kondegang mnawachukulua poa, ila ina watu kama kina Jembe ni Jembe wazoefu na wanajua nini wanafanya.
hata huyo harmonize asingebebwa na Wasafi sasa hivi angekuwa mtwara analima korosho.Kwani ni crime label kumbeba msanii jina lake likapaa. Inabidi kumbeaba msanii jina liwe kubwa ndo utengeneze pesa. Na hilo wamefanikiwa. Hata promota akitaka kumchukua Zuchu kwa sasa lazima atakuwa ashajitengenezea picha kuwa atalipa pesa ya maana kutokana na branding na promo aliyofanyiwa.
Mimi siyo shabiki wa nyimbo zake lakini ndiyo ukweli hata mtu akatae ndiyo ukweli tu.
Kwani ni crime label kumbeba msanii jina lake likapaa. Inabidi kumbeaba msanii jina liwe kubwa ndo utengeneze pesa. Na hilo wamefanikiwa. Hata promota akitaka kumchukua Zuchu kwa sasa lazima atakuwa ashajitengenezea picha kuwa atalipa pesa ya maana kutokana na branding na promo aliyofanyiwa.
Mimi siyo shabiki wa nyimbo zake lakini ndiyo ukweli hata mtu akatae ndiyo ukweli tu.
Yah ndiyo mziki wa siku hizi siyo kipaji tu, kama tunaongelea kipaji Ruby ilibidi awe na mafanikio kuliko Nandy lakini mambo sivyo yalivyo. Mziki ni Promo na branding, na ujanja pia. Hata Rama Dee ni mkali sana sana. Lakini kuna watu wengi hawamfahamu kwasababu ama hajafanyia promo la kutosha ama hajabase kwenye mziki kama source of income.Hapa nimeingia choo cha kike
Muziki wa siku hizi unanishinda namna mnavyopeleka mambo
Basi sawa
Yah ndiyo mziki wa siku hizi siyo kipaji tu, kama tunaongelea kipaji Ruby ilibidi awe na mafanikio kuliko Nandy lakini mambo sivyo yalivyo. Mziki ni Promo na branding, na ujanja pia. Hata Rama Dee ni mkali sana sana. Lakini kuna watu wengi hawamfahamu kwasababu ama hajafanyia promo la kutosha ama hajabase kwenye mziki kama source of income.
Ibra hajapewa promo anapotea. Harmo mwenyewe alipotambulishwa na Diamond, alifanyiwa promo la maana na jina likawa kubwa.
Ukali bila kwenda viral ukatengeneza ela ni sawa umesoma sana halafu uko mtaani una njaa aliyemaliza la saba anatengeneza pesa. Kingereza bila ela ni sawa na kupiga kelele (Moja ya mstari wa Langa (RIP).Dah najifunza aisee
Bado nilikua na mawazo yale ya mkali ni mwenye kipaji
Kwahiyo nilikua napishana sana na vijana, mimi nakazia uwezo kumbe wao wanazungumzia nani kazi zake zinakwenda viral
HamnistuiAsksr,
Huyu Harmonize naona hajui pa kushika ni wapi, alianza na Qchief hamukmfikisha kokote (Qchilla naye anageuza maneno kuna siku anahojiwa na Babu wa kitaa alisema kuna watu walimfitinisha Harmonize akasepa pasipo hata kumwambia sababu leo anasema hakuwa na uwezo wa kumlipa), akaja na Ibra naye sioni anakoelekea, mara kamsaini yule Mnaija naye hajafika kokote, sasa kawasign hawa madogo. Personally hawa madogo naona hata vipaji hawana walikuwa wanatembelea nyota ya Alikiba tu.
Ila muda utasema maana yeye mwenyewe Konde Boy naona siku baada ya siku kimziki anazidi kushuka, Konde wa sasa si kama konde wa kipindi yuko WCB baada ya miaka miwili sijui atakuwa wapi Mr. Konde.
Mafanikio ya kufanya vituko vya kutengeneza nywele kama mwanamke afanyavyo Rayvanny ?Mafanikio ya kimziki hayajifichi, mtu akifanya poa anaonekana wazi kafanya poa. Time will tell....