Wasanii wa Bongo hawawezi kuimba LIVE (ukweli sio tusi)

Wasanii wa Bongo hawawezi kuimba LIVE (ukweli sio tusi)

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Kuimba live sio kurukaruka juu ya jukwaa.

Wasanii wabongo mnarukaruka sana kwenye jukwaa.

Ushauri mchungu mkifika kwenye jukwaa tulizeni akili connect akili yako na wasikilizaji.

Imba kutoka moyoni na tumboni na usiimbie kooni.

Toa sauti toka tumboni umiliki wimbo uwe wako.

Angalieni watoto wa BSS na AGT wanavyo imba vizuri ninyi makelele yanakua mengi sana.

Niliwahi kusema wakenya wanaimba nyimbo nzuri kuliko sisi tulicho wazidi ni brand tu.

Kama huamini play wimbo wa Kidumu hapo, au sikiliza nyimbo za kina Juliana Kinyomozi wa Uganda. Nyimbo za kina Bahati na Nadia ni nzuri sana.

Fanyeni mazoezi ya kuimba ndugu zangu mkitaka ku perform live lasivyo mtaendelea kushindwa.
 
Kuimba live sio kurukaruka juu ya jukwaa.

Wasanii wabongo mnarukaruka sana kwenye jukwaa.

Ushauri mchungu mkifika kwenye jukwaa tulizeni akili connect akili yako na wasikilizaji.

Imba kutoka moyoni na tumboni na usiimbie kooni.

Toa sauti toka tumboni umiliki wimbo uwe wako.

Angalieni watoto wa BSS na AGT wanavyo imba vizuri ninyi makelele yanakua mengi sana.

Niliwahi kusema wakenya wanaimba nyimbo nzuri kuliko sisi tulicho wazidi ni brand tu.

Kama huamini play wimbo wa Kidumu hapo, au sikiliza nyimbo za kina Juliana Kinyomozi wa Uganda. Nyimbo za kina Bahati na Nadia ni nzuri sana.

Fanyeni mazoezi ya kuimba ndugu zangu mkitaka ku perform live lasivyo mtaendelea kushindwa.
Wewe unajua kuimba live?
 
Kwanini usiingie kuwakilisha wewe ili wengine wajifunze kwako kwa kufanya sahihi wanapokosea?
Elewa kwamba Kuna watu Wana kipawa Cha kuwa walimu tu au wakufunzi..
Walimu wanawafundisha watu kuwa ma professor alafu useme kwanini hao walimu wasiwe ma professor
 
Kwanini usiingie kuwakilisha wewe ili wengine wajifunze kwako kwa kufanya sahihi wanapokosea?
Tunaweza kuchukua vijana wa BSS, wakina Phina, Abby Chams, Ruby, wakina Lydia siku za kuwakilisha taifa letu kwenye mambo makubwa ili tusidhalilike. Hawa wanao imbia studio wabaki kutuburudisha kwenye Playlists zetu.
 
Kuimba live sio kurukaruka juu ya jukwaa.

Wasanii wabongo mnarukaruka sana kwenye jukwaa.

Ushauri mchungu mkifika kwenye jukwaa tulizeni akili connect akili yako na wasikilizaji.

Imba kutoka moyoni na tumboni na usiimbie kooni.

Toa sauti toka tumboni umiliki wimbo uwe wako.

Angalieni watoto wa BSS na AGT wanavyo imba vizuri ninyi makelele yanakua mengi sana.

Niliwahi kusema wakenya wanaimba nyimbo nzuri kuliko sisi tulicho wazidi ni brand tu.

Kama huamini play wimbo wa Kidumu hapo, au sikiliza nyimbo za kina Juliana Kinyomozi wa Uganda. Nyimbo za kina Bahati na Nadia ni nzuri sana.

Fanyeni mazoezi ya kuimba ndugu zangu mkitaka ku perform live lasivyo mtaendelea kushindwa.
Ukweli mchungu
 
Nime wahi hudhuria matamasha baadhi ya live band, ali kiba, barnaba, ruby, lady jay d na bella wako vizuri Sana.
 
sio wote mlete muumin mwinjuma uone shughuli.
 
Mleta mada ni mwalimu wa muziki?
Kwaiyo kama sio mwalimu wa muziki ndio asijue muziki na misingi ya muziki lakini akawa Hana sauti ya kuimba au asipende kuimba.
Je akiyajua hayo yote haruhusiwi kushauri wasanii kuhusu music?
 
Back
Top Bottom